Niliondoa huduma yao kwa kukosa msaada ofisini kwao
Ukipata tatizo la mtandao weekend ndio usubiri hadi j3
Kifaa kikiharibika, inabidi uhonge mafundi wao wakupe
Na fundi hadi aje kwako lazima umtoe lasivyo utasubiri mwezi mzima na hakuna atakae kuja japo hadi meneja wa mkoa anakuwa na taarifa...
Wanaoongoza kwa kukimbia na kuvunja sheria za barabarani ni gari za serikali na mabasi...ila sio jambo la ajabu hasa ukiangalia kiwango duni cha uelewa cha wananchi na viongozi wao.
Mtu akiwa DC tu basi anakuwa juu ya sheria...utawala wa sheria ni wote kutii sheria nyakati zote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.