Kabisa, nimeona report za mishahara kwenye vilabu vya ligi bora 5, Ndugu zetu wanaongoza. Nimejiuliza wanamlipa nani mshahara mkubwa considering age ya wachezaji na viwango uwanjani... Perez yupo vizuri sana.
Unaandika pumba tu... Hembu nionyeshe mahali nimelinganisha wachezaji wa Madrid..Wewe uliesema hakuna kitu anafanya uwanjani zaidi ya kuanguka tu ndio utuambie imekuaje katajwa mchezaji bora wa pili... Utakua ulikimbia umande wewe sio bure.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.