vikampuni vyote vya usafi wizara ya afya ni vyake ,vikampuni vyote vya maua [gardens] ni vyake bado tenda ya uniforms za wafanyakazi wa muhimbili [mariedo] ni zake pia yaani huyu mama hafai kuwa mtumishi wa umma kwani ni fisadi wa kutupwa nashangaaa kikwete kumuweka mpaka sasa tutegemee nini ?
jamani naona watu wanaongea/wanatoa ushauri pasipo jua kwa kawaida kipimo hicho huitwa PV examination,ni kipimo cha kawaida sana kwa wanawake.japokuwa kama hudhalilisha lkn husaidia sana kubain matatizo ya kina mama .madoctor wengi huwa hawapendelei lkn PV,spectrum examination husaidia sana...
pccb ipo kwa ajiri ya watu wasio na magamba na watu wenye beef na viongozi wa serikali ya magamba ,,,,,,,,victims ni haswa wale wenye kuingilia maslahi ya wenye magamba
**** uhuru newspaper,CEO, its writers ,publishing compay,and who support this muther****er newspaper ,,,,**** you tooo!!!!!! all who read this ****en paper **** them
Speakers are usually offered a glass of water as they are preparing to speak. Although this may help you swallow or temporarily relieve a dry mouth, it is not the most important water you could drink if you want smooth and comfortable voice production.
Thats the water you drink several hours...
yaah kumsaidia ni kumtimua unajua barehe ni kitu kibaya sana ......na pindi inapomfikia kijana inategemea inamwangukia wapi sasa huyu imeangukia kwenye ngono naomba ujivue kwani mwisho wa siku utapata matatizo ya kuhudumia yeye na kiumbe bora jiondoe mapema,,,,,,,,,,,kwa sababu yeye anaona kama...
athuman ni kama imetumika kuwakirisha jina la binadamu kwani mungu huwezi kumfananisha na binadamu
binadamu akipewa nafasi ya kugawa ridhiki anaweza kupendelea lakini mungu hafanyi hivyo
mtema kuni siku moja akiwa katika shughuli zake za kukusanya kuni zilizo kauka porini akajikuta amefunga...
biashara hiyo inafanyika sana na wahusika kwa sababu zao wamejikita na chadema wanashindwa kufanya kazi zao za msingi .....kuna issue ya kujiunga na jeshi arusha ambapo watu wawili walikuwa na vyeti vya form 4 /kuzaliwa vinavyofanana wakakamata ,,,walipowabana wahusika wakasema sehemu...
yaah inasikitisha sana kuona wazungu wanaona uchungu na ndg zetu wanaopoteza maisha kwa ajiri ya minerals zetu....harafu viongozi wetu wanajibu kwa nyodo maswali yahayohusu mauaji hakika historia itawahukumu siku moja ,,,,,,wewe mkwereee.....chunga san
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.