Hehe... nmeipenda hii! CUF na CCM wamecameroniana c bure!
Bigup CDM kwakweli nyie mmeonyesha nia ya dhati kbs ya kuleta mageuzi nchini.
baada ya miaka 50 ya uhuru CCM wameprove a total failure. its high time now we need a change. CDM ndio chama pekee kinachoonyesha seriousness ya kuleta...
Huyu R1 ni mshamba cjui alikua anaishi msoga kipindi chote mpk zali lilipomuangukia mshua wake! Haoni watoto wa wakubwa wengine walivyotulia? Cheki wa Lowassa ingawa babayao ni fisadi cku nyingi lakini wao wapo kama hawapo huwezi kuwackia hata wakimtetea babayao. Likewise wa Mkapa, Mwinyi...
Jus tell us mnawacliana nn na Rostam ambae chama chako kinamtaja kua fisadi na1? Wat bussines do u have with this guy? We ni mpelelezi frm Takukuru? Hapana. what do u guys normally talk about? Kama co kukihujumu CDM? Nawapongeza Mwanahalisi ambao waliweza kuprove kwamb u had communications wth...
Unasema unataka ushahidi wa content ya mawasiliano yako na hao mafisadi ikiwa proved km unahujumu chama then utawajibika! The fact kwamba umekubali kua unawacliana nao inatosha kbs kwa cc kukudiscredit muheshimiwa. How come unawacliana na watu km kina Rostam according to mwanahalisi alaf still u...
Hamjaumwa nyie magonjwa sugu mkapata tabu miaka mingi bila matajio ya kupona! Mkiumwa serious cku moja mtamtafuta babu wa loliondo hata km akihamia kwa Gaddafi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.