But yet we need people to join our forces regardless what, sina uhakika ni wapi katika nchi hii hakuna uozo. Tatizo ni kwamba pamoja na elimu yako unahitaji mtu wa kukushika mkono kupata kibarua. Watu pia wanapenda fani tofauti, huwezi kumlazimisha huyo mdogo wake kwenda THT!!!!!!
Inasemekana kuwa ile meli iliyokamatwa ikivua kwenye pwani yetu ilipata kibali toka Zanzibar, sasa nini kilitokea hadi washindwe kuonyesha kibali hicho mara tu walipokamatwa hadi ikapelekea kesi ichukue muda mrefu hivyo?. Wasiwasi wangu ni kwamba mafisadi wamejipanga kucheza game nyingine ya...
"K***mako wewe umeifanyia nini atcl miaka yote hiyo" hivyo ndivyo alivyosema. wakati wale mazuzu wenzake wanachekelea. Nilishangazwa nikajiuliza kama wako studio au baa!!!
Kuna mazingaombwe yalitokea wakati fulani kwenye mchakato wa wabunge wa Afrika Mashariki ambapo alionekana kuingia kiaina ambapo wengi iliwaacha midomo wazi!!!
Nina wiki sasa najaribu kumsaidia binti yangu 2 register on line but ending up with "Oops! Internet Explorer could not connect to cas.tcu.go.tz" What's happening!, msaada wajameni siku zinaenda
Ni habari ya kutia moyo kuhusu cracking ya Aids puzzle lakini cracking ya chanzo cha AIDS nayo naona kama pia ni puzzle
lakini Dr. Boyd Graves anatuleza vingine nenda
http://www.boydgraves.com/timeline/.
Hata kama mkataba wao ulikuwa ni kujenga barabara tu bado barabara yenyewe ni substandard. Mimi nikiwa mkazi wa Mbagala na kidogo nina uzoefu wa ujenzi wa barabara nina wasiwasi kama Consultant anafuatilia specification ipasavyo. In general drainage is the heart of road construction sijui setup...
Mshahara na marupurupu ya huyo kocha nadhani sio muhimu kwa sasa kwa sababu siamini kuwa makocha wazalendo walikuwa wanashindwa kwa sababu ya mshahara. Unataka kuniambia ndugu zetu wakina Kayuni, Mziray, Mkwasa, kibadeni nk wakipewa posho anayopewa Maximo tutaimba kidedea wakati wote. Nadhani...
Yalipotokea mauaji ya Wakenya ambayo yalionyesha pia kupata baraka na Waziri husika, nilianza kupatwa na mashaka kama tatizo lilikuwa kwa waliouawa au waliouwa sasa naona the later ndio tatizo kwani wameonyesha bado wana hamu ya kuua and this time there are no Kenyans!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.