kuna madogo niliona ITV kama sijakosea wana device moja una set kwenye mlango au dirisha una chagua kuweka alam au shot na ikipiga ina piga kweli.
hicho kifaa kina uwezo wa kupiga kelele ya mwizi mwizi
Hyo kesi kwangu ni ndogo sana.
1 ninge mtafuta mtu anae endana na sura prisca nimpange kisha namkutanisha na iryn
2 wakati nimepata nafasi ya kuingia ndani ninge omba kuongea nae ninge mpanga hata jamaa yangu kuwa aseme ni mpenzi wake prisca na ajifanye ana mjua marry na mambo mengine, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.