na wameonyesha kwamba simba itatumia mbinu za ushirikina kuliko soka.
halafu kwamba matokeo huwa wanakaaga chini watu fulani kuyapanga kwamba mechi hii shindeni hii fungweni
ndomana wanakuja na ajenda oh hata awe mbovu hafungiki!
Umeongea kila kitu mkuu'! Jana mpaka wakina GHLIB MZINGA na MPENJa nao wameshiriki kuwatia hofu wana yanga. Oh lolote laweza tokea
yule dhaifu anashindaga derby
oh kariakoo siasa!
yani hofu nyingi mpaka watu wameyumba
WATU wanapenda sana miujiza. Huyu sijui ndo yuko times fm anafoka saa zote!
kumna shost angu anakwambia kanunua mafuta ya 5000 kwa kuhani musa alivyopaka mbaya wake akampigia simu kumwambia yeye ndo anamroga! Anakwambia mama ake mdogo kayanunua ya laki moja ananiambia hayo ndo kiboko! Nikamjibu haya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.