Yaani Kingereza chako ni kichanga saana, una point ila hujui kingereza sijui kwa nini hukuandika tuu kiswahili. Ni nani alikudanganya kuwa unafahamu kingereza? sijawahi kuona kingereza kibovu hivi duniani, umejaribu ila huna vocablary za kutosha kitu ambacho kimekufanya uafnye direct translations.
Sidhani kama Magufuli atamchukua mtu mwizi. Makamba aliiba pesa za vyandarua vya Msaada leo hii awe Waziri nitashangaa kama Magufuli akimchagua. kwa kikwete anaweza kwa maana yeye anakumbatia wezi ila kwa Makufuli anataka watu wakuwatumikia wananchi sio wakuwaibia hata pesa za vyandarua.
Nina wasiwasi na wewe ni miongoni mwao(Yuda Escarioti yule mwivi aliyemsalit Yesu kwa vipande 30 vya pesa kisha akajinyonga). Nyambafu jiandae kujinyonga na wewe kama Yuda, utaisoma namba, hapa kazi tuu. Watoto wa mitaani watatoka wapi wakati Magufuli anajenga jamii imara shule bure kwa kila...
kwanini asipochaguliwa Lowasa awe kakatwa lakini asipochaguliwa mwingulu iwe sawa tu? kwani Lowasa yeye ni nani hata hasipochaguliwa awe kakatwa? Nauliza tuu
Yaani Mimi sio mshabiki wa upande wowote ila nakuona wewe ni mpumbavu na mzushi. mara unasema wewe ni mtu wa System unajua mpango mzima unaundwa juu ya gwajima na unataka utueleze. lakini umetoa mapovu tuu hapa kurasa kibao hujaeleza kitu zaidi ya tarumbeta. sasa najiulize kama wewe ni shushu...
Asante Mluguru wewe unayeishi Council Estate ulaya nakuonea huruma, sfari yako kutoka tanzania kuishia Council estate. nimekupvt nikakupa namba yangu mbona hupigi? uwongo kama uko ulaya piga namba niliyokupa Nanga wewe. guy form Council estate.
Nakuambia wewe ni kiazi kama bado hujui tofauti unatetea Council house siwezi hata kuongea na wewe, nikutana na mtu akanitajia anakoishi najua tuu anaishi kwenye nyumba ya aina gani, hiyo nuymba binafsi iliyopo jirani yako naye alinunua kutoka council ndio maana huoni tofauti wote mko kima cha...
Hivi wewe kweli uko ulaya hata hujui maana ya Council estate? unadhani Council estate ni tower building. hivi wewe kweli umeenda shule unayedhani kama ukiuziwa nyumba ya caucil ni sawa na nyumba ya kawaida? hushangai nyumba ya Council wanakuuzia kwa £10,000 wakati nyumba za binafsi zinauzwa ni...
Yaani wewe usithubutu wala kujibu kwa maana ni aibu tupu kama unakaa Council state wewe ni mlala hoi wa ulaya. kwanza mpaka umekubaliwa kubid hiyo nyumba moja kwa moja mshahara wako ni chini ya £400 kwa mwezi. wewe wadanganywe waliko bongo ambao hawajui tofauti ya hizo nyumba. Council house hata...
Burudani ziishe kwani anajua hata uwanja ulipo? unatpiga box ukumbuke siku mech, yeye anona kwenye runinga tuu kama wewe uliyepo bongo. saa nyingine hata mda wa kuangalia runinga haupati yuko shift. una afadhali wewe ambaye unaweza hata kwenda kwenye Bar na kuona soka za ulaya mpiga box wa ulaya...
Kaka acha uharo kwa maana mimi mpaka Lei hii niko hapa Leicester huwezi kunipa hadith za kijinga hivi, kawadanganye walikoko bongo. wewe kama unakaa Council estate tunakuona choo tuu, kima cha chini. na kwa story yako ni wazi kuwa we ni hovyooooooo. mpiga box tuu. makaratasi ya kisomali moja kwa...
Kaka Nilidhani uko Ulaya kumbe Leicester! hivi hapo Leicester au India?kuna tofauti gani kati ya Leicester na Manzese? Pole saana, mimi kwakweli nilikaa UK lakini sikuona cha maana zaidi ya shida tuupu za kupiga box na kutokuwa na social life. Hapo Leicester unakaa Beaumont Leys au St Mathew kwa...
Unataka ujue ni akina nani walio muua waziri wakati wanajulikanat wazi? Si ni yule Msouth Africa? Na jina lake walimtaja wazi siku ileile? Anaitwa Dube
Mimi wala sio MTZ ila nina interest na Tanzania kwa maana niliwahi kuish hapo. Sijui hata anafanana je ila naangalia tu hali halisi ndugu yangu, tuwe wakweli
Nakuunga mkono, majungu hayana tija. Huyu inaelekea alihonga hela ikaliwa na akakosa sasa anamshukia mwenzake. Mawaziri wamefoji vyeti wanajulikana na bado ni mawaziri. Kwanini kumshiki bango huyu miss?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.