Mwana JF tafakari hili:Itakuwaje BABU wa Loliondo atoweke gafla halafu aache ujumbe mfupi kuwa ,NDUGU WANANCHI NIMEAMUA KUKIMBIA MAANA NIMEGUNDUA HII DAWA NI SUMU NA HUUA BAADA YA MWAKA 1,wanangu 3 wamekufa kwa kuwa wao ndio walikuwa wa kwanza kuwafanyia majaribio, kweli walipona lakini baada ya...
Uifikilie kubomoa tu, hawa watu waliojenga kwenye maeneo hayo wamepewa viwanja na halmashauri za miji na majiji, hivyo uamzi wa kubomoa bila kufuata utaratibu siyo haki ya msingi, wakulaumiwa ni watu wa mipango miji na idara ya ardhi ya eneo husika , vilevile serikari hawaweki vigingi vya...
Inashangaza waziri mkuu anapotoa tamko harafu linashindwa kutekelezwa , katika ziara aliyofanya mkoani kagera alikemea kupanda kwa bei ya sukari ukizingatia kunakiwanda 70km kutoka bukoba manicipal , lakini hakuna hata godown la sukari bk ,sukARI ikizalishwa inapelekwa mza, wafanyabiashara...
msomaji wa safu hii , umri wangu umeenda sasa,
ninahitaji mpenzi wa kweli na baadaye awe mke , elimu kidato cha nne hadi chuo
mwenye sifa hii anakaribishwa , ila awe msichana mrefu, asiwe mnene sanaaaaaaaaaa
SErikali ya ccm inanyanganya wananchi mashamba yao , angalia mza MKURUGENZI anajigawia viwanja pamoja na maswaiba wake , kilicho baki ni kuuana tu, mtu ameishi eneo hilo tangu 1930, mwaka 2009 uje umwambie hatakiwi kuishi hapo aende wapi na eneo hamjampa , kwa hali hii viongozi mamuluki muwe...
Hatutaacha maandamano mpaka kieleweke , tumenyonywa vya kutosha na viongozi, watu wamejifanya miungu
ipo siku itakuwa kweli , tunahitaji mabadiliko ya kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.