Search results

  1. M

    Mwanshangaza wadada wa jf

    We gusa unase, Is it 'love doesn ask why?????????
  2. M

    Nifanye nini?

    So fun jamani, Hapana chezea JF
  3. M

    Ushauri tafadhari

    Tatizo ni elimu kaka, kama una njia mbaal ya kumsaidia atleast apige hatua hata kwa kusoma masomo ya QT atajifunza mengi.
  4. M

    Mwanaume kumpa au kutompa pesa mpenzi wake

    Haaaaaaaaaaaaaaaaaaah... kweli ww mtoto wa mjini.
  5. M

    Sitaki kukuumiza ila its over!!

    Hamia Airtel... yakikushinda uanze kujuta.
  6. M

    Wadada wa Jf are you real serious kwenye mahusiano????????

    kuulizwa kabila na kazi unayofanya ni mambo ya kawaida sana, usije kuwa na mtu unaemzidi salary times 3 then badae iwe.... oooh ananinyanyasa kisa anazidi kipato.. mara sijui nn... funguka kijana, ;If you will be serious they will be Serious too.'
  7. M

    Kila cku lakini leo kazidisha

    Maitu mengine hayafai hata kupendwa..... huna chako hapo mwaya
  8. M

    Je kuwa na mtoto kabla ya Ndoa imekaaje??

    Mara nyingi haileti picha nzuri katika jamii otherwise iwe imetokea kwa bahati mbaya tu.
  9. M

    Je, kuna ukweli wowote ktk hili!??

    Hayo yalikuwa ni mambo ya zamani za kale na isitoshe hakuna mwanamke anaependa kuishi bila mume tena kwa kumuua mwenyewe sasa ataona raha gani? Usisikilize ya watu. Kaka songa mbele.
  10. M

    Vitu Vitatu naam Vinne ambavyo vinakukera katika maisha ya kawaida ya MMU

    Ama kweli JF inatufundisha mengi. Loh mm nilikuwa sijui kama kusema 'Baby nikuulize swali' in kera. Sasa nimjifunza.
  11. M

    unamfahamu yeyote ambaye ni jf member?

    Duh hata mm nahisi ipo siku nitamfaham hata mmoja.
  12. M

    Naumia sana, Sikujua kama kuna siku nitanyanyaswa!

    Pole sana ma Sisy ila rudi tu kwa mumeo na ukeshe ukiomba Mungu atambadilisha.
  13. M

    Nishaurini nisiumie tena jamani..

    2@ BADILI TABIA.. Asante sana kwa ushauri. MIMI nimejishusha na nimeanzisha mawasiliano nasubiri kuona changes.
  14. M

    Nishaurini nisiumie tena jamani..

    @ Maganga Thread haijafungwa ila nimetanguliza shukrani ili kuonyesha kuwa mawazo yenu yamesaidia sana. Ila mpaka sasa nategemea ushauri zaidi utakao nikuza zaidi na zaid.
  15. M

    Nishaurini nisiumie tena jamani..

    Asanteni wote kwa ushauri wenu na nimeufanyia kazi mpaka sasa mafanikio niliyopata ni mazuri kwani kashanisamehe.MUNGU awariki wote na nilio waudhi mnisamehe.
  16. M

    Nishaurini nisiumie tena jamani..

    Thanx @ FirstLady1
  17. M

    Nishaurini nisiumie tena jamani..

    @ Gangogango asante kama umeona hilo nitarudi shule kwenda kusoma.
  18. M

    Nishaurini nisiumie tena jamani..

    @ Kolero asante sana kwa ushauri wako na Mungu akubariki.
Back
Top Bottom