Kwanza upeleke majeshi yakapigane na nani? Wewe umeaminishwa tu kuwa al-shababu ni magaidi na hao wa magharibi ili kulinda maslahi yao lakini wasomalia wenyewe wanaona al-shabab ndiyo mkombozi wao na ndiyo maana asilimia 80% ya wasomalia wanaunga mkono harakati za al-shabab
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.