Ndugu zangu.. nimeongea nae leo mchana. Kaniambia kosa langu ni kwa sababu nilimuuzi jana ucku wakati nilipomuuliza kwa nini hakupokea simu wala kujibu sms yangu? Eti ndio kosa... langu.
Alafu.. yeye kaniambia kuwa mimi huwa namletea stress sana. Nikijiangalia ni stress gani sizioni. sion...
Ndugu zangu wanajamvi habari za asubuhi.
Nimekuja hapa kuandika uzi huu nikiomba ushauri nikihitaji faraja kutoka kwenu.
Mimi ni kijana miaka 25, mwenzangu huyu 21, nimemaliza chuo miaka miwili iliyopita, mwenzangu kaishia form 4. Tumekuwa kwenye mahusiano karibu mwaka na nusu. Niseme kweli...
Labda huu ujumbe uwafikie wale wote ambao wamepata wapenzi wanawapenda sana na awanajitolea kwao.. lakin wao wanajiona miungu watu na kuanza kudharau na kuwafanyia wapenzi wao yasiyo faa. Niwaambie tu.. yatawakuta mabaya na makubwa ... maana malipo ni hapa hapa duniani
Unaweza kuwa una roho mbaya.. lakini unaweza kugeuka na kuwa mtu mwema kabisa.
Kwanza jifunze kusamehe.. alafu kuwa mtu wa ibada Muombe sana Mungu aondoe hiyo hali katika maisha yako.
Jitahidi uwe mtu wa kusamehe...
Only msamaha kutoka moyoni ndio tiba ya tatizo lako.
Ukisamehe utakuwa na vinyongo..
Ukisamehe amani itatawala moyoni..
Ukisamehe hata Mungu anakubariki..
Dont force love brother. Just let love come to you. Kama hakupendi brother dont force it. Nilikuwa kwenye situation kama yako.. nikiwa chuo. Lakin baadae nilijifunza kuukubali ukweli. Sawa inauma kwa sababu moyo umependa.. lakin mwache aende. Usipoteze muda
Sikiliza bro.. ni nature ya wanaume huwa tunasamehe lakini hatusahau yaliyotokea.
First kazana Muombe Mungu akupe uwezo wa kusamehe.. ondoa vinyongo. Just kazana.. kumuomba Mungu.. kuwa na iman kwamba kila kitu kinatokea kwa sababu.. ..weka iman kuwa mazuri zaidi yanakuja.
Utapona vidonda vya...
Kutokana na maelezo yako.. braza inaonekana bado ujasamehe ... wala ujamsamehe alio kuumiza moyo. Na hiyo hali ndio inakupelekea kuwa na kinyongo na wanawake.
Ungeanza kwanza na kusamehe... Nenda kanisan au msikitini, Tubu..
Muombe Mungu akupe amani.. aondoe visasi katika moyo wako.. and anza...
Kwa kweli wako wenye bahati ya kupendeka... wanapata wenzi wanaowajali.. lakini wakishajua wanapendwa viburi, dharau.. vituko.. wanavyo wafanyia hao wanao wapenda ni balaa tupu.
Wanacho sahau ni kuwa kwa miaka ya sasa ukipata mtu akakupenda kutoka moyoni usimwache, maana bahati kama hizo ni...
Mimi nilimpenda dada mmoja kipindi cha nyuma.. akanizingua na kuniletea mashauzi. Nikampotezea miaka kadhaa.. sasa hiv ananitafuta mwenyewe... ila mimi nilisha songa mbele so huwa namuangalia tu anavyo hangaika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.