hivi huyu KAMISHINA MKUU ndiye yule aliyejikomba kwa vyombo vya habari kukataa rushwa ya Milioni 10?
UKIWA MNAFIKI MUNGU ANAKUUMBUA
KAMISHNA MKUU na naibu wako mlaaniwe na kizazi chenu kwa dhuluma mnayoifanya
Inasikitisha sana, ila Kuna udhaifu nimeuona kwenye uongozi wote hivi rais au pm unatoaje tamko au amri alafu hufuatilii kama ilitekelezwa au laa?
Japo una majukumu mengi kitaifa ila swala kama hili ulitakiwa ulitilue uzito sana kwani tra sio wageni kwenu,
Au mlitaka msikie huyu mzee kauliwa au...
Hivi kuna umuhimu gani wa kutaja mwinbaji wa nyimbo kama huna uhakika au kwanini usiache tu zikapiga au anayejua akataja?
Kipindi cha ubaoni wamepiga wimbo unaoitwa dont leave me wa BLACKSREET , sasa kuna mmoja karopoka wimbo unaitwa dont leave me wa backstreet boys sasa kuna mwingine akawa...
Tumeskia tu mara ulifanya kazi ukaacha ukaanza kuanzisha viwanda na hukuanza na ipp moja kwa moja vipo ilivyoanzisha vikafeli kwanza, je ULIPATA WAPI MTAJI, wengi tunajua kuanzisha kiwanda sio kazi ndogo kwa siku hizi sasa sembuse vipindi vya ujamaa kwa nyerere ambapo pesa ilikua ngumu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.