Search results

  1. N

    Mfanyabiashara Ramadhan Hamis Ntunzwe, adai TRA hawajatekeleza agizo la Rais. Je, Kamishna Mkuu TRA afukuzwe kazi na Yono ifilisiwe mali zake?

    KAMISHNA MKUU hafai kuwa kiongozi mkuu wa trakwani analinda wenzake wezi huku snajua ni ishu siriasi na raisi anajua
  2. N

    Mfanyabiashara Ramadhan Hamis Ntunzwe, adai TRA hawajatekeleza agizo la Rais. Je, Kamishna Mkuu TRA afukuzwe kazi na Yono ifilisiwe mali zake?

    Alafu jamaa ukitaka kujua sio mwongo ana hadi reference haongei blabla tu Ila la kujiuliza TRA WANA MAMLAKA GANI KUKATAA MAAGIZO YA RAIS NA PM?
  3. N

    Mfanyabiashara Ramadhan Hamis Ntunzwe, adai TRA hawajatekeleza agizo la Rais. Je, Kamishna Mkuu TRA afukuzwe kazi na Yono ifilisiwe mali zake?

    hivi huyu KAMISHINA MKUU ndiye yule aliyejikomba kwa vyombo vya habari kukataa rushwa ya Milioni 10? UKIWA MNAFIKI MUNGU ANAKUUMBUA KAMISHNA MKUU na naibu wako mlaaniwe na kizazi chenu kwa dhuluma mnayoifanya
  4. N

    Mfanyabiashara Ramadhan Hamis Ntunzwe, adai TRA hawajatekeleza agizo la Rais. Je, Kamishna Mkuu TRA afukuzwe kazi na Yono ifilisiwe mali zake?

    Inasikitisha sana, ila Kuna udhaifu nimeuona kwenye uongozi wote hivi rais au pm unatoaje tamko au amri alafu hufuatilii kama ilitekelezwa au laa? Japo una majukumu mengi kitaifa ila swala kama hili ulitakiwa ulitilue uzito sana kwani tra sio wageni kwenu, Au mlitaka msikie huyu mzee kauliwa au...
  5. N

    Tetesi: : Oparasheni Mpunguti yatangazwa Kyela ,sasa ni kichapo kisicho na kikomo

    Tena ikibidi waingize hata jwtz ili mtajane na msipotajana mtavunjwavunjwa
  6. N

    Tetesi: : Oparasheni Mpunguti yatangazwa Kyela ,sasa ni kichapo kisicho na kikomo

    Pigweni tu wasenge nyie, mlitaka muuwe mwenzenu sasa uwaweni nyie, Yani mlitaka kushindana na serikali?
  7. N

    GARAMA YA KUSOMA MASTERS BONGO

    wadau nataka mfahamu garama ya kusoma masters za social science au business courses open university bz nimeenda kwenye web yao hakuna wanapoomyesha
  8. N

    Eti ,"Rais anashauriwa vibaya" . Hii ni kauli ya ki woga na kinafiki!

    Hakuna anayemshauri kwanza huyu hana mshauri
  9. N

    Nafasi 3 za kazi katika kituo cha massage

    Wasenge nyie , nyie ndio mnanyonya watu na kugeuza watoto wa wenzenu madanguro
  10. N

    Watangazaji wa EFM kama hamjui nyimbo kaeni kimya

    Hivi kuna umuhimu gani wa kutaja mwinbaji wa nyimbo kama huna uhakika au kwanini usiache tu zikapiga au anayejua akataja? Kipindi cha ubaoni wamepiga wimbo unaoitwa dont leave me wa BLACKSREET , sasa kuna mmoja karopoka wimbo unaitwa dont leave me wa backstreet boys sasa kuna mwingine akawa...
  11. N

    Dr Mengi umetuficha swala hili, bado hujasaidia wajasiriamali/wafanyabiashara wenye lengo la kufuata nyayo zako

    Nshasikiaga hii ila sikubaliani nayo ndugu,sijui kwa nn akii yangu imekataa kukubali
  12. N

    Dr Mengi umetuficha swala hili, bado hujasaidia wajasiriamali/wafanyabiashara wenye lengo la kufuata nyayo zako

    Nakubaliana na ww kidogo ila alikua GENOUS bz ni mafisadi wangapi wanakwiba pesa wanazikumbatia tu benki au nje ya nchi?
  13. N

    Dr Mengi umetuficha swala hili, bado hujasaidia wajasiriamali/wafanyabiashara wenye lengo la kufuata nyayo zako

    Akiwa na 30? Sio 47? Mbona viwanda tunaona kuwa kaanza 1988 au mm ndio sijaelewa?
  14. N

    Dr Mengi umetuficha swala hili, bado hujasaidia wajasiriamali/wafanyabiashara wenye lengo la kufuata nyayo zako

    Tena kipindi cha ujamaa ambapo pesa ilikua ngumu na uwekezaji wa namna hiyo lazima alipata maswali mengi toka kwa watawala wa kipindi hicho......
  15. N

    Dr Mengi umetuficha swala hili, bado hujasaidia wajasiriamali/wafanyabiashara wenye lengo la kufuata nyayo zako

    Tumeskia tu mara ulifanya kazi ukaacha ukaanza kuanzisha viwanda na hukuanza na ipp moja kwa moja vipo ilivyoanzisha vikafeli kwanza, je ULIPATA WAPI MTAJI, wengi tunajua kuanzisha kiwanda sio kazi ndogo kwa siku hizi sasa sembuse vipindi vya ujamaa kwa nyerere ambapo pesa ilikua ngumu na...
  16. N

    Mwanafunzi wangu wa kike anatafuta kazi hotelini, Ofisini, Supermarket msaidieni

    Anna tako? A.k.a mgongo? Kama analo kapita bila interview
Back
Top Bottom