Vua ajiangalie kwenye kioo, utagundua Iko na saiz ya kawaida tu. Tatizo uaingalia Kwa kutoka juu, na kitu chochote ukukiangalia Kwa kitokea juu kianonekana kidogo kuliko uhalisia
Ndo hivyo ila sana uwe na pumzi ya kutosha na kuna kuwa na break mnapumzika mnaanza tena...unaorgasm lakini hauejaculate...orgasm na ejaculation ni vitendo vinavyofuatana kwa kupushana sekunde chache...ukiweza kutenganganisha unakuwa mwamba kamili
Jifunze kula mbususu bila kupizi,...unapiga dry orgasm wazungu unawarudisha mwilini ...unaweza kusex hata 3 times a week unapizi kila Baada ya siku Kumi au 30 depending on your age....ukiipigia tizi unaweza ila uwe na uvimilivu...faida yake kubwa hauzeeki mwili...unzeeka mfupa tu...unakuwa na...
Bora ujifunze kugonga bila kuejaculate...Ina faida nyingi kuliko hiyo Yako...you can sex hata mara 3kwa week laki unaejaculate once after 10 or 20 days
Kwenye kuchagua mchumba kuna mambo unaweza kuyazingatia ila sio Sheria ni maoni yangu.
1. Compatibility,..kama mtoa post alivyoeleza....
2. Body chemistry...uzuri na urembo au muonekano
3. Character and conduct....Tabia na mienendo,...kuna watu wana tabia za ajabu acha aisee
4...
Ulaya ukitaka maid unamlipa mshahara kama mfanyakazi wa serikali au sekta binafsi ana haki zote Hadi mafao,..so wachache wanamudu kuwaajiri...sio kama huku kwetu unamtupia ka hamsini flani kwa mwezi..
وَإِذَا بَلَغَ ٱلۡأَطۡفَٰلُ مِنكُمُ ٱلۡحُلُمَ فَلۡيَسۡتَـٔۡذِنُواْ كَمَا ٱسۡتَـٔۡذَنَ ٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِهِمۡۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ ٱللَّهُ لَكُمۡ ءَايَٰتِهِۦۗ وَٱللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيمٞ
(Dr. Mustafa Khattab)
And when your children reach the age of puberty, let them seek permission ˹to come in˺...
1.Tafuta hela ya kutosha. Uwe mwenye nazo.
2.Tafuta maarifa mbalimbali (Faham vitu mbali mbali umzidi upeo wa kufikiri ie kuwa mjanja in such a a way hafanyi kitu mpaka akuulize kwa kuwa una maarifa na unajua vitu vingi...namaanisha street smart sio urudi shule).
3.Imarisha nguvu zako za kiume...
Anaruhusiwa kuomba talaka, na akapewa akaenda kuolewa na mtu mwingine,..mfano umeolewa na mwanaume, hapigi mashine vzr au jogoo hapandi mtungi kabisa, haudumii familia, au anakutesa kama kipigo cha mbwa Koko ...uislaam unaelekeza mwanamke kwenda kwa kiongozi wa dini(kadhi) akaimba talaka yake.
Ipo haja ya Kijifunza kupiga show bila kumwagwa manii....ni kazoezi kaguma ila with time unakuwa master, kanasaidia mimba zisizo tarajiwa....ukiwa na umri kuazia miaka 30 - 40 angalau unapizi mara Moja Baada ya siku 10 japo unaweza kuwa unasex kila siku ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.