Nimekuelewa sana ndugu yangu
Hakika raha ni ya shetan lakin huruma ambayo ni chungu sana ni ya MUNGU
BAS ISIWE KESI
MUNGU NA WENYE KHAKI
SHETAN NA WAHUNI
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume tunazidi kuisha kwa tukio hilo la mwanaume mmoja kuuwawa kinyama tugemee wanaume wengine zaid ya watano kutia kwa mbaloni kwa kile kinaitwa uchunguzi then kwa kile kinaitwa upepelezi bado unaendelea zaid ya miaka hata kumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Shetan ana jeshi kubwa sana mkuu
Lakin licha ya kuwa na jeshi kubwa hajawahi kumshinda MUNGU AU KUMSHINDA MWENYE KHAKIA
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimeteseka sana na ndoto za kukimbizwa na majoka, simba na mbwa
.nashukuru sana kwa sasa naota ndoto zenye utukufu sana
Unajua unaweza ukawa unadunda mchana kumbe unaombea usiku usifike ili usiote mandoto ya kutisha
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.