Search results

  1. GAZETI

    Rais Samia afanya Mabadiliko madogo ya uongozi Serikalini, amteua Daniel Chongolo kuwa Mkuu wa mkoa wa Songwe

    Yaani Tandahimba ni mwendo wa kwata tu, akitoka kamanda Soja anaingia Luteni Kishoka.....!
  2. GAZETI

    Jakaya Kikwete: Lowassa alipopata changamoto na kukaa pembeni, tuliendelea kuwa Marafiki

    Sasa mnabisha nini, Lini Lowasa na Kikwete waligombana?
  3. GAZETI

    Kwanini ndugu, jamaa na marafiki hawaheshimu biashara ya gari?

    Yaani ukimiliki gari la biashara basi kila mmoja katika hao niliowataja hujiita Staff Jambo la kushangaza kama kuna mmoja wao anamiliki Duka huwezi kuchukua bure hata penseli. Waungwana tujitahidi Kuheshimu biashara ya gari kama inavyoheshimiwa biashara yako ya Duka La dawa. USHAURI Kwa wale...
  4. GAZETI

    Aviator ipo kutufilisi vijana

    Kama umeamua kubet Fuata tu mechi hayo mambo ya makasino achana nayo
  5. GAZETI

    Wanaume walipwe zaidi kuliko wanawake kazini

    Mkuu unastahili kujengewa Mnara
  6. GAZETI

    Je, tutamkumbuka Rais Samia kwa lipi kubwa alilofanya?

    Akishakamilisha Barabara ya Mtwara, Tandahimba, Newala, Masasi hadi Nachingwea hatakuwa bora ila atakuwa bora kuliko Maraisi wote waliopita.
  7. GAZETI

    Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

    Usalama wa Taifa ni kazi ya kila mmoja wetu, kila mmoja anawajibika kwa usalama wa Taifa letu. Tofauti ni kuwa kuna waliojariwa na wana mafunzo Fulani, wewe fanya kwa lile unaloliweza, Ni kama usafi tu, wapo walioajiriwa kufanya usafi lakini kwa ujumla wake ni jukumu letu sote.
  8. GAZETI

    Mwana JF unamaoni gani kuhusu mjadala wa Dini ulioandaliwa kati ya Dkt. Sule na Pastor Ndacha tarehe 16 na 17 December 2023

    Hakuna tatizo lolote zaidi ya kuwa kitakachofanywa hapo ni ujasiriamali au biashara kamili.
  9. GAZETI

    Ujumbe maalum kwa Rais Samia kuhusu uzembe unaofanywa na wafanyakazi wa Bandari Jijini Dar

    Sheikh za siku nyingi, hivi unayo dawa ya kisukari? ni ya kushusha au kuponya?
  10. GAZETI

    Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano wa TAWIRI, Dec 6-8

    Sema nini, hatuwezi kwenda Peponi/mbinguni bila kufa hivyo ni vema kwa tunaopendana tukaombeana vifo tu ili kwenda kuipata faraja ya milele kuliko haya maisha ya Joto, mafuriko na kukosa pesa.
  11. GAZETI

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimeufuata ila nimebadilisha kidogo.
  12. GAZETI

    Rais Samia umetuteIekeza Wakulima wa Korosho?

    Labda huko Mtama!
  13. GAZETI

    Rais Samia umetuteIekeza Wakulima wa Korosho?

    Kama kuna Kipindi mkulima wa Korosho amepitia au anapitia mateso mheshimiwa Rais basi ni hiki Kipindi chako, huenda kuna mambo mengi unadanganywa na hawa uliowafanya Kuwa wasaidizi wako. 1. Bei za korosho zinashushwa Kiholela bila sababu za msingi. 2. Vyama vikuu vya ushirika hususani Tanecu...
  14. GAZETI

    Kwanini watoto huadhibiwa kwa kuchapwa wanapokula kwa jirani?

    Nimeuliza kumuadhibu kwa kuchapwa.
  15. GAZETI

    Ajali ya Tank la Mafuta Vigwaza Mzani

    Kujifunza nini wewe, hiyo ni Neema kwao Mafuta 3000 + unafanya mchezo nini?
  16. GAZETI

    Kwanini watoto huadhibiwa kwa kuchapwa wanapokula kwa jirani?

    Mkuu, nimeona mtoto amepigwa mpaka kapoteza fahamu tena ni leo tatizo kadowea.
  17. GAZETI

    Kwanini watoto huadhibiwa kwa kuchapwa wanapokula kwa jirani?

    Tatizo linalonifikirisha hapa ni kwamba mtoto anakutana na watu wazima ambao wanatumia ushawishi mkubwa kwa mtoto.
  18. GAZETI

    Kwanini watoto huadhibiwa kwa kuchapwa wanapokula kwa jirani?

    Mara nyingi naona watoto wakiadhibiwa kwa viboko ikibainika wamekula (kudowea) nyumba ya jirani, Kitendo hiki kinamfundisha nini mtoto? Je ni sahihi?
Back
Top Bottom