Yaani ukimiliki gari la biashara basi kila mmoja katika hao niliowataja hujiita Staff Jambo la kushangaza kama kuna mmoja wao anamiliki Duka huwezi kuchukua bure hata penseli.
Waungwana tujitahidi Kuheshimu biashara ya gari kama inavyoheshimiwa biashara yako ya Duka La dawa.
USHAURI
Kwa wale...
Usalama wa Taifa ni kazi ya kila mmoja wetu, kila mmoja anawajibika kwa usalama wa Taifa letu. Tofauti ni kuwa kuna waliojariwa na wana mafunzo Fulani, wewe fanya kwa lile unaloliweza, Ni kama usafi tu, wapo walioajiriwa kufanya usafi lakini kwa ujumla wake ni jukumu letu sote.
Sema nini, hatuwezi kwenda Peponi/mbinguni bila kufa hivyo ni vema kwa tunaopendana tukaombeana vifo tu ili kwenda kuipata faraja ya milele kuliko haya maisha ya Joto, mafuriko na kukosa pesa.
Kama kuna Kipindi mkulima wa Korosho amepitia au anapitia mateso mheshimiwa Rais basi ni hiki Kipindi chako, huenda kuna mambo mengi unadanganywa na hawa uliowafanya Kuwa wasaidizi wako.
1. Bei za korosho zinashushwa Kiholela bila sababu za msingi.
2. Vyama vikuu vya ushirika hususani Tanecu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.