Kufunga tumbo kuna faida zake,pale tu utakapojifungua langu lilirudi kwa sababu ya kufunga hata uende gym wakati wa zoezi unatakiwa uwe umefunga kurahisisha tumbo kurudi katika shepu yake ya awali
Swali,je mkimpa chakula mnachokula nyinyi wakubwa anakula au pia hapendi? Wangu alikataa vyakula vya kusagiwa lakin ukimpa hivi vyetu especialy ugali anakula vizuri tu,
Muhimu musimpe vyakula mnavyopenda nyinyi mpeni chochote ambacho anapenda na kula vizuri,matunda mjaribu ya aina yote uone yepi...
Hello,thank you. What we do is consultancy we dont have classes like other schools,what. We do is training for a short period which that why its indicated as a short course training course like a crash program or induction program
About location for now we conduct our training in the office of...
We provide customer care/ service training to company employees and inviduals. The short course include:
basic customer care skills, call handling, how to deal with difficult customers, receptionist skills.
Contact us on: 0714883986/
0714883986
Habari wana jf,hiv karibuni kuna jamaa yangu mmoja alitapeliwa kias cha 3.15 mil kwa hawa jamaa wanaojiita madalali na wenye nyumba feki.
Cha kushangaza ni kwamba aliporipoti polis,kumbe tayari hawa jamaa wanafahamika biashara yao pia wanafahamu nyumba ambyo hawa jamaa wanaitumia kuifanya ndio...
Kuna mitandao ambayo inakuwezesha kununua bidhaa electronicaly yani kwa kutumia account yako ya benk ambayo imesajiliwa na huduma inaitwa paypal,ukiwa na hiyo account unaweza kununua chochote au hata kuuza chochote online mfano mtandao wa ebay au amazon chochote utakachonunua makato yatatoka...
Inabidi uwe na account inaitwa paypal ambayo pia itabidi uwe na account ya bank yenye uwezo wa online purchase kama barclays,dtb ukiwa na account huko ndo unaweza kufungua paypall account
Kimsingi simgas ni unprofessional,so mtu yoyote anaweza kufanya kazi,hawafati taratibu za kuajiri na hiyo 20000 wala sio kweli mwisho wa mwezi ukifika majungu tele mwisho unamezea...
lol kaka hilo jina la mean girl was only kupata registration jamii forums coz jina langu na ninayoyajua yote used humu,ila thanks kwa kunipa moyo,mungu ndo mwenye kupanga
Kaka unachanganya kati ya elimu na mfumuko wa bei nchini,kuwa na elimu au kutokuwa nayo haipi serikali chhance ya kupandisha huduma bila ya kuzingatia maisha ya jumla ya wananchi wake wote,nani alisema ukiwa na elimu kubwa ndo maisha yatakuwa mazuri? Ajira zenyewe ukiomba ukiwa na elimu kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.