Kwani kwenye hizo nchi za wenzetu,walizaliwa tu Wakawa na barabara nzuri,highways/flyovers bila kuanzia huku? Je bwana kibanda anajua kuwa hata kwenye nchi hizo foleni bado ni kubwa pengine zaidi ya bongo . Nafikiri bwana magufuli anasimamia angalau kwa asilimia zaidi ya 70 vizuri ukilinganisha...
Kilichotakiwa ni mwenye ufahamu na aweke hapa,sio maneno mengi na kashfa.wengi wetu hatujui historia za majina.. Baada ya karne kadhaa hukawii kusikia hiyo baraka Obama rd imekuwaje kuwepo bongo. Kifupi mwenye uhakika wa jibu na aweke tujuzwe!
kaka, muogope huyo demu kama ana ukoma!!!!
kwani demu au mke wa mshikaji ni noma saaana!
pia kwakuwa ana dinywa na watu kibao huenda tayari ana "tanesco"mwilini.
achana nae !! ikibidi mchane kabisa kuwa akizidi utamwambia mmewe!
kwa hakika wametuzidi akili, na wanajua nini kichafu,wapi kumekatazwa...ila duh!! binaadamu sasa ukisikia neno "la mchina hilo" ukiacha kuangalia unayanyima haki macho ysko..kwani utaona dude hilooo....mawazo yanakuwa kitigotigo tuu...kah!:wink2:
hhahaha! kweli ni ndefu, mimi nimejigeuza geuza kwenye kitanda na laptop yangu hadi kumaliza!
ila jibu naona nitampa kesho, maana ni ndefu sana aisei!!
mkuu ulichofanya ni kuwa, wakati laptop yako ilipokuwa na avast 5, inaonyesha ili fanya scanning ya virus basi baada ya kumaliza ikakamata labda kirusi au spyware . na kawaida ya anti-virus zote ni kuwa zinachukua lile faili lililoharibika kwa kirusi na kulibadilisha kwa kulipa jina lingine...
duh! umemng'amua kuwa ni judith ...kudadeki!!
haya lete habari zake,maana kama ameanza kuwa muongo kabla hajakamata mtu humu si atakuwa mapepe huyu?
hahaha!
nothing fo good,
kwangu i dont care which city or which province u r ...kwakuwa hukuweka masharti magumu kabisa,
ila kwangu mm nina masharti moja au mawili yenye a be na che hivi
1.uwe tayari kwenda kupimwa ngoma,lazima uonyeshe cheti na badala ya hapo mguu kwa mguu hadi hospitali bingwa,hii...
tutumie akili tu , kwa upande mmoja au mwingine mzee Gembe upo sahihi kabisa kukamatwa huyu mtu,au kama sio kukamatwa basi kuminywa kidogo ili siri za serikali zisivuje .lazima tuangalie hapa, sio tu kwakuwa sisi ni chadema au tlp basi ndio kila kinachofanywa na chama tawala ni hovyo.,lakini pia...
duh! hii ndio bongo! kwani jamani naomba kuuliza,wanalipwa hawa watu wakipewa hivyo vi phd na dk vyao vya kupeana?maana ipo siku utasikia mzee yupo UDSM anafundisha waungwana chuoni ...dah!:wink2:
hii imekaa kidaku zaidi, sina uhakika kama ametumia jina vizuri, kwanini asitumie jina la mme wake, kama desturi yetu wadanganyika?au aseme " mtoto wa miaka 11 ajifungua mtoto",ila kwa kuuzia gazeti, jina la lowassa litafanya gazeti kuuzika mara moja.!
hii inafanya wanafunzi wengi kujikuta wanakosa ajira, na baadae kudumbukia kwenye sekta tofauti na tulivyosoma.inatia hasira sana kuona kuwa kila sehemu watu wanaulizia experience...sasa jamani ,mtu akitoka kazini ,atapata wapi experiences?:A S 13: hili linafaa kuangaliwa kwa undani kabisa...
huyu mzee lazima atakuwa mgonjwa!
aliwahi kutabiri kuwa hakutakuwa na uchaguzi wa rais,UKAWA
atakaeshindana na kikwete atakufa,HAKUNA ALIYEKUFA
sijui kwann serikali isimkamate,au kumsimamisha asilete vurugu kwenye nchi yetu.kwann asijitabirie yeye lini anakufa ili watu wajue ujinga wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.