Habari Zenu Wapendwa
Nafuta mwalimu wa Secondary wakubadilishana kituo cha kazi, awe yupo mkoa wa Daresalaama anayehitaji kuhamia Arusha, nafundisha shule ya Elioti Arusha
Tuwasiliane kwa 0682013841
Thanks
Ajira binafsi siku hizi zinamatatizo kweli, muda waprobation umekuwa mrefu mno hadi miezi nane, mkataba umestate baada ya probation utaongezwa mshahara ila ukidai vitisho na hadithi zisizokuwa na mwisho. Pia kuna umuhimu serikali kutunga sheria ya minimum wage rate inaccordance with education...
KIA is closer to Kilimanjaro, Serengeti and other tourist attraction found in Arusha as compared to Taveta.... Politics is killing as these days, people of Arusha and kilimanjaro have made a choice of voting for Chadema.
Has long as CCM will be in power it will never reallocate its resources...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.