Ni hivi, barabara zote za kuelekea barabara ya Morogoro zina marundo ya vifusi. Geti pekee kwa wakazi wenye magari la kuingia Magomeni Kota ni lile lililo mkabala na Turiani Sekondari. Kwa maelekezo ya TBA na walinzi wake, geti hilo sharti lifungwe saa 6 usiku.
Hawa ni watu na siyo mifugo wa...
Mafanikio gani zaidi ya ngonjera za kila siku? Kitu cha maana mpaka sasa ni kuwaachia mashehe na kuwarudishia kina Mbowe pesa za faini; lakini nacho ni dosari kwani nchi inaongozwa kwa utashi wa rais au taasisi thabiti?
Bodi ya ligi walipiga simu harakaharaka kwa vilabu. Klabu yangu pendwa haikukubaliana na ujinga huo ikapeleka timu kwa mujibu wa kanuni. Klabu nyingine ikakubali muda mpya. Mechi ikavunjika. TFF wakasema wamesikitishwa, Yanga wakasema wamesikitishwa, Simba wakasema wamesikitishwa na wakadai...
Huyo rais wenu hana katibu? Au ofisi yake haina katibu mkuu? Hoja za wanasiasa zinajumuisha tuhuma dhidi ya huyo msajili, tume ya uchaguzi na malaya wa kisiasa kama huyo Shibuda: iweje tena watuhumiwa ndio watunge ajenda?
Kuna maiti za kuonea wivu lakini siyo maiti ya mtu aliyejitukuza na kutukuzwa pengine kuliko hata Mungu aliyetuumba. Unakumbuka Mwanri alisema eti Mungu aje duniani kumshukuru huyo mungu wenu. Aibu
Yesu ni adui wa haki? Hao watoto malaika ni adui wa haki? Lakini huyo malaika wenu aliyetangulia alikuwa ni adui mkubwa sana wa haki? Haihitaji PHD kujua kama siyo mnufaika wake
Ni kweli Baba Askofu hana kinyongo. Mwenye kinyongo ni huyo aliyetwaliwa. Mtu gani hata katika mauti yake bado kuna watu wanaswekwa jela kwa kusema tu anaumwa. Hapa mtoa mada hajamsemea Baba Askofu bali kamsema huyo katili wenu
Huyu kaka Aida namwombea awe na moyo mvumilivu. Majitoleo yake yatapokelewa na Mungu na tuzo pia ni hapahapa duniani. Lakini huyu aliyezoea kusema "Msema kweli ni mpenzi wa Mungu" hakupenda kusikia ukweli - bila shaka - ukweli unauma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.