sin hakika kama haya madai ni ya kweli au lah, ila kinachonitia wasiwasi ni gazeti ambalo limeripoti habari hii. sote tunajua kuwa gazeti la mtanzania linamilikiwa na Rostam na kazi yao kubwa ni kumsafisha Lowasa na kuwachafua watu wanaoonekana kuwa ni tishio kwake. Membe ni mmoja kati ya watu...
Naomba nitoe mtizamo wangu kuhusu hali ya siasa nchini Tanzania na ambavyo watanzania wa dini kuu mbili yaani Uislam na Ukristo tumekuwa tukitumika kama ngazi ya Chama tawala kujihalalishia kuendelea kuwepo madarakani.
Moja kati ya mambo ambayo CCM imekuwa ikiyatumia kama mtaji wa kuendekea...
kitendo cha mbunge wa tarime mh. nyambari nyangwine kushambuliwa kwa kutupiwa mawe inaonyesha kabisa kuwa watu wale kwa ujumla wao hawana imani na CCM pamoja na serikali yake, lakini pia support waliyoipata CHADEMA katika kushughulikia swala hili inaonyesha jinsi gani wananchi wa TARIME...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.