Deluxe ilishachoka sana siku hizi ila kwa enzi hizo ndo kilikuwa kiwanja kikubwa huku Mwanza, kwa sasa kuna kuna kiwanja kipya kinaitwa Rock Bottom Club, ipo underground katika jengo jipya la PPF Plaza opposite na Mwanza Hotel ndo huwa tunaenda hapo kupitisha muda tu. Pizzeria (Kuleana) bado ipo...
Nakumbuka enzi hizo Dj Show ya Radio One ilikuwa unmissable kabisa, akikaa Sebastian Maganga, Mike Mhagama yaani ilikuwa show bomba mbaya! Nakumbuka baadaye Rankim Ramadna alikuja huku Mwanza, akatisha sana pale RFA ila tena akapotea. Siku hizi Dj shows za maredio mbwembwe nyingi bila substance...
Duh Ritz bana, mi najua we ni gambaz pure! Kumbe kweli hata humu umo? Ni kweli Jontwa ni wa Mwanza pia alikuwa na jamaa mwingine muhaya akiitwa Rweyemamu (yeye alikuwa akijiita Rweyeman) wote wakiimba Ragga. Nakumbuka kama vile Jontwa aliperform katika show Beenie Man alipokuja Bongo in late...
"...inapodunda redioni tega sikio kwa makini, upende usiipende take your way na mimi nadunda kama kid & play, kama hunipendi yoo kaa pande sitapenda wengi kama Maumba....ndindi ndindi ndindiiiiiiiiii x 2 ice ice ice baby...."
Hiyo "ndindi ndindi ndindiiiiii" ni mdundo kwa ile instrumental yaani...
Hapa Old Skool tu ndo tunaweza kuchangia, wengine wote wamekimbia! Umenikumbusha kina Jontwa Jokeri, Sos B na jembe lao Saleh Jabri - hasa ule mstari wa "...naruka kama ninja natua kama ndege airport...ice ice baby ice ice baby...ndi ndi ndi ndiiiiii..."
Sio kina bong falva wa siku hizi!
Sasa jamani kwani tabu nini? Kama hivi ndivyo mnavyoamini na ikiwa haya ndiyo maoni ya wazanzibari wengi, kwa nini basi msiliombe/petition Baraza la Wawakilishi na au Baraza la Mapinduzi kuhusu kuvunja muungano?
Maana kwa mfano rahisi tu, kama ndoa iliyofungwa kihalali baada ya maridhiano ya...
Yaani Kasheshe tangu nimeanza kusoma hoja zako katika uzi huu, hususani kwa kile Lema alichomjibu JK, mie mtu wa kawaida (kutokana na bandiko lako moja hapo juu), i find you more paradoxical and puzzling than i thought you were...anyway hii kwa kiasi kikubwa naamini inachangiwa na one's station...
Kasheshe,
You of all the people inakuja na hoja dhaifu namna hii? watu wengi wa kawaida ni kina nani? JK anaongoza watu gani? Tu-assume kuwa hivi ndivyo hoja yako ilivyo, historia ina mifano mingi tu jinsi ambavyo watu wengi wa kawaida walivyoleta mapinduzi ya kimfumo ndani ya jamii. Ni watu wa...
Ikiwa ndivyo hivyo ulivyoelewa, basi kijembe mara nyingi hatajwi mtu ila tu anayeweza kujibu ni yule anayeona kuwa kijembe hicho kimeelekezwa kwake...na kwa muktadha na uzi huu, Lema ameona kile kijembe kimeelekezwa kwake na hivyo kujibu...tofauti ni kwamba yeye kajibu kavu kavu kwa kile...
Lema kajibu kile alichoona kinamfaa, na hapa tunachangia kile Lema alichosema vis-a-vis JK alichosema, hivyo unaweza pia kuchambua kile unachoona kinafaa kijadiliwe kutoka katika hotuba ya JK ukilete hapa nasi tupate kuchangia.
Kasheshe as simple as that, period.
Kasheshe ukubali tu hukuipata mantiki nyuma ya hotuba ya JK na kwa mlolongo huo huo, mantiki ya Lema. Sasa Lema amejua mapema sana ndo sababu amempa kavu kavu bila kuficha.
Ritz,
iwapo unafahamu maana ya innuendo utaelewa kwa nini JK alichemka kwa ku-refer Arusha kusingefanyika mikutano miaka miwili iliyopita. Kwa kukusadia tu innunendo - "An innuendo is an indirect intimation about a person or thing, especially of a disparaging or a derogatory nature. It can also...
Kasheshe come on man!
Unajua maana ya innuendo? Naamini unaijua, hivyo rudia tena kusoma hotuba ya JK uone nachomaanisha. Kwa kukusaidia tu, ile excerpt ambayo Lema kaiweka kwenye barua yake toka katika hotuba ya JK itakusaidia.
Kifupi JK alichemka, period.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.