Tuanzie hapa kukumbushana.
Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali
Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili
Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali
Wakataka na kauli, iwafae maishani
Akatamka mgonjwa, ninaumwa kwelikweli
Hata kama nikichanjwa, haitoki homa kali
Roho naona yachinjwa, kifo...
Hahahahaaaaa!!!!!!!!!!!!!
Kwa hiyo elimu ni madrassat pekee? hata waislamu walioenda kwenye elimu za sekondari na vyuo vikuu wamejazwa ujinga nao? Muislamu aliyesoma Madrassat tu bila kwenda hata chekechea yeye ndo hajajazwa ujinga?
Tuombe
Eee Bwana ninakuomba uwarehemu watu waliokengeuka kimtazamo, kufilisika kifikra na kupotoka kiakili kama huyu ndugu. Uwarejeshee akili mpya yenye kufikiri vyema.
Najuwa hakufanya hivi kwa kosa lake, bali ni matatizo yanayomkabili ikiwemo hofu ya kupoteza kazi kwa kuchelewa kila siku...
Anasema Registraa wa vyama vya siasa ni wa serikali sio wa CCM na maamuzi yake ya kufuta chama hawawezi kuhijiwa mahakamani.
Swali: serikali inatokana na chama gani?
Raisi = Mwenyekiti wa Chanma
Makamu/ Mwawaziri ndio wajumbe wa kamati/halmashauri za chama
Hapo utatenganishaje chama na serikali?
Wadau mlio karibu na TV zenu Naona Waziri ma mahusiano na uratibu ofisi ya Raisi Mheshimiwa Steven Wasira yuko TBC anazungumzia vifo vya mara kwa mara vinavyotokana na jeshi la polisi kuzuia maandamano na mikutano ya Chadema. Naomba tuangalie tuone mitizamo na misimamo yake.
Tupingane lakini tusipigane. Tunataka CCM iwe chama cha upinzani kwa angalau miaka kumi ili wajirudi. Wana CCM ni Watanzania wenzetu, ni ndugu zetu. Hatutaki wafe, tunataka wasing'anganie madaraka mno. Uchu wao wa madaraka unatuchosha, lakini akifa mmoja wao bado ni amekufa Mtanzania mwezetu...
Mwanasheria mkuu wa serikali ametoa ufafanuzi bungeni kuhusu vipengele vya marekebisho ya mifuko ya pensheni vinavyolalamikiwa, na kuahidi kuwa ataleta tena hiyo hoja bungeni ili wabunge wavipitie Upya.
Aidha amesema serikali haina hila yeyote katika hilo na kuwa uwezekano wa kuvirekebisha au...
Hivi na ile mishahara tuliyokopa Benk za biashara tumesharudisha? Mbona waziri wa fedha alisema tunakopesheka? Au haya madeni mengine yalifichwa ili ionekane tunakopesheka? Hapa Imebaki tu Majembe Auction kutangaza kuwa TZ inauzwa kwa mnada wa hadhara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.