Tuache porojo, kapige kura kwa umtakaye. Ukiangilia mtu kazomewa au kashangiliwa utapotea maana wanaozomea hawafiki 10000.
Wanasiasa hayo walishayazoea kabisa. Mfano lowasa alizomewa sana miaka 7 na 8 iliyppita sasa anashangiliwa. Hiyo ndio Siasa na changamoto zake
Tusubiri uchunguzi wa Daktari, ila kwenye sheria kama itagundulika kwamba huyo Lulu alimsukuma, then atapelekwa na chaji ya Mauaji, kwasababu, kuna kitendo kusukuma( Actus Reus) hichi tu hakitoshi kunatakiwa kuwe na Nia Ovu( Mens Rea), hivyo huyu binti asingekuwa na nia ovu, baada ya Kanumba...
Ni wiki sasa UDSM Mawasiliano ya simu kupitia mtandao wa Tigo imekuwa shida. Ombi kwa Mainjinia na Wamiliki wa Tigo kama huwa mnapita kwenye hizi foramu mfanye hima maana hali si shwari.
Nimekulia kijijini, sikuwahi ni sijawahi kutumia nishati ya umeme kijijini kwetu. Nimekuwa nikitumia Kuni au mkaa kupikia. Hutumia mafuta ya TAA kupata mwanga wakati wa Usiku. Sasa mafuta yanapanda bei mara saba (kodi), Kipato kinapungua. Nifanye nini nipate wa kunitetea?
Tatizo uchaguzi wa spika ulitawaliwa na mawazo potofu ya kuvunja rekodi kuwa na Spika wa kike badala ya kanuni husika za kumpata sipika. Sasa hayo ndo matokeo na bado mengine mtayaona zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.