Wazazi washakasirika kuwapotosha watoto wao, wengi wanaona bora watoto wao wajikite kusoma vitabu vya dini visivyo wahusu (Quran na Biblia) ila si kusoma na kwenda shule. Waafrika tuna matatizo ya kiakili sana.
Hapa mwenye kosa ni rais wetu kuteua viongozi wa shirika la umeme walio incompetent kila kukicha, alianza na Makamba ambaye yuko incompetent kama Waziri Kairuki. Kila kiongozi anayechaguliwa na rais kuendesha hili shirika anakuwa mpuuzi, wanakuwa na visingizio vya kijinga hata mtoto mdogo...
Usijidanganye kijana, Waarab wameendelea kidogo tu na hii imetokana na mafuta ila kabla ya hapo walikuwa hawana lolote. Ulaya nani anaendekeza dini, Ulaya gani unayosema wewe?
Kwa kifupi tu jibu ni DINI za kuletewa, hakuna zaidi ya hapa. DINI ufanya watu wasiishi maisha ya uhalisia na kuwa wajinga wa kutupwa na ndiyo maana siku zote serikali inawahimiza vibaraka wao (viongozi wa dini) kuwachanganya waumini wao akili ili waendelee kuwa wajinga.
Ukisikia laana ndiyo hii, sasa jiulize misikiti yote hii inasaidia nini Watanzania walalahoi washindao misikitini kutwa kucha wakisubiri Mungu awape miujiza. Serikali pia ni ya kulaumiwa hapa, wasiwe wanaruhusu wafadhili kujenga misikiti na makanisa na kufanya wananchi wazidi kuwa wajinga kwa...
Kwa akili ya Mwamposa anafikiri watoto wa TB Joshua watasema baba yao alikuwa mbakaji? Waumini wa Kiiislam tu mpaka leo hawataki kukubali kuwa Muddy alikuwa firahuni na mbakaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.