Ulishajiuliza kwa nini vitu vilivyokatazwa kwenye maandiko huwa ni vitam sana? Mfano pombe? Kambale? Nguruwe? Nk? Tukumbushane na vingine haramu ambavyo ni vitamu....
Huu mtindo naona unakuja kwa kasi ya ajabu sana yaani ndiyo style zao siku hizi hadi unakuta anajisahau wiki unakuta una hamu anakuambia yupo blid unakausha ukimaliza wiki moja anamwomba gem anajisahau anakuambia yupo blid tena.
Kuna siku anaweza kuja ukajua unapiga gem mkiwa katikati ya...
Kua uyaone jamani ama kweli hichi kizazi ni cha nyoka nimetafakari mpaka nikaogopa nilikua katika mishe zangu za kwenye social network siku moja nikatupia pc kadem kakalike mwishowe nikaingia inbox tukawa tunachat kama rafiki kiukwel nilimchukulia kama mdogo wangu akaniambia yupo form 2 siku...
Hali imezidi kua mbaya sana toka mkuu wa kaya abane matumizi yasiyo na lazima zamani madem walikua na nyodo sana maana pesa zilikua nyingi wengi waliwekwa vimada na mapedeshee mjini wakipangiwa manyumba ya kisasa na vijibabu kule mjengoni ilikua vikao vikianza tuu madem wote wanakimbilia dom...
Siku hizi madem hamna huruma aisee au si mseme basi mnauza tuu papuchi? kwa usawa huu imekua mpaka umdinye manzi mpaka uwe na ela maana unaeza kuwa na genye ukimpanga manzi Wako atakuambia nitumie nauli unakuta ni apo sinza mpaka kinondoni tuu ...akija anaeza kuja na rafiki zake anabeba kijiji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.