nikiwa mteja wa lodge hii ya KILIMANJARO hapa njia panda ya Kisasa hapa mjini Dodoma leo asubuhi na mapema nikijiandaa kwenda mazoezini nikaona mdudu akizuzula kwenye net yangu na baada ya kumbonyeza akatoa damu.Chukueni tahadhari kwani unaweza kulipa lodge 30,000 au 25,000 dodoma na bado...
Wakudadavua ww ni PUNDA wa ZITTO. anayokutuma ndio unayaleta hapa. Wanywa pombe ni wengi na walikuwa wengi lkn si mabwege kama huyu Kitwanga kwa uchache anza na JPM, JK Original, Lowasa ,Pinda Zito Mbowe nk .
Kama hujui mambo ya historia za watu kaa kimya. Hapa kuna wa2 wamesoma naye kuanzia Mby Meta Sec.mpaka. Ud . wanamjua Vizri sana. ni Smoker mzuri sana labda aje aseme kuwa ameacha.
.
Ndg kiSAIRO achana na hao wasiotaka hata kujiongeza kwa kujisomea na kupata habari zaidi kuhusu MIHADARATI ktk nchi hii. Mzee Nzowa amestaafu huku akiwa maskini na sasa anaishi kwny nyumba ya kawaida kabisa huku alikuwa akikamata na kuhifadhi Mabilioni ya Madawa wakati kuna vipolisi vidogo tu...
Kwa taarifa yako yule Gwiji wa Unga ambaye Obama alimtaja (SHIKUBA) alitoa kauli kwa msaidizi wake akiwa SA kuwa wote waliotaka kumkamata hapa Tz walishindwa kwasababu walikuwa na THAMANI ila alishindwa kujua KAMANDA THAMANI YA GODFREY NZOWA
Ss hivi anaishi temeke kny chumba 1 na Sebule akimtegemea MKEWE amlishe na kazi yake ni kujipendekeza kwa yoyote apate Tonge. HUYU NDIO MZALENDO WA CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.