Umuhimu wako hapa JF, ni kama huu
Sijui kwa nini walikutupa selo
Kweli, vibonge tuwe na Club yetu
Ila umeme wa Bongo sijui itakuaje, viyoyozi vikiwa avifanyi kazi.
Full kupumuliana.
Kwani Arusha kuna kombati ya chama ata moja ililegwa risasi, acheni kuwarubuni watu kwa masilai yenu binafsi. Watu wafe mtengeneze majina yenu.
Aku! mimi sipo kabisa
Jamani, mbona mabomu hivyo kama kwa Hayati Sadam, poleni sana wakimbizi wa gongolamboto na maeneo ya huko.
Sisi masaki tulikuwa tunayasikia kwa mbali tu.
Nikaribishine, nijisikie nipo nyumbani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.