Hapo nimekuelewa ndugu, 2mechoshwa na bunge la "wanafiki waseme ndiooo!...ndiooo!" hawa mafisadi na mama yao pale mbele wanapenda sana kutuburuza, hata kwenye soka inatokea refa bila kumtia jambajamba hatendi haki, japo hatumpigi! Bravo lema!
Hivi ndugu unaona wanajf wote watoto? Au unadhani hatuna mambo ya maana ya kujadili? UMECHUKUA CHUPA YA MIRINDA ORANGE, UKAPACHIKA KIZIBO CHA FANTA, halafu unajiita great thinker, cjui ndyo ubunifu? Pole
Nilisahau kukuuliza km ana tatizo la kutokwa na damu. Km fibroid ipo lkn haitoki damu anaweza kusubiri, akaweka malengo ya kupata mtoto kabla ya operation. Bt kikubwa ni kwamba atahitaji kuuondoa huo uvimbe si mapema sana bt wkt itakapokuwa salama zaidi kufanya hvyo. Mpe pole zangu
Matibabu inategemea na profile yako, i mean umri, umeshapata watoto, bt in short kuna dawa (Gnrh agonist) km gosereline zinapunguza size ya fibroid. Tiba kamili ni operation myomectomy wanafungua uterus kuondoa huo uvimbe, kw wamama waliokamilisha familia hysterectomy kuondoa kizazi.
Dogo ungeenda kusoma 2 kwanza, mabinti hawaishi, pia u didnt need kusema tht unaenda kusoma "nje" nchumbiji! ili upate mke, au ndo sound zako hzo? 2ambie bac unaenda kusomea nini if at all it matters. ..kijungu nini bana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.