Dah, hii imenikumbusha mbali sana!!! wakija walimu wa upe shule inageuka kambi ya jeshi! Mtawahi namba kwa kengele 3,ya kwanza saa 12 kamili,ya pili 12.15 na ya tatu 12.30.
Ukaguzi wa kidumu cha maji,mfagio na wakati mwingine kuni,mbolea,au maua.
Long time kitambo.....
Tafadhali wanahabari,msichukue taarifa za kuambiwa na hou wanaojiita wasemaji wa serikali,jeshi,n.k. Jaribuni kuzihakiki kwa kufuatilia kwa karibu na kuthibitisha kabla ya kuziweka hewani. Tunawategemea sana wanahabari kwa taarifa sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.