EL ni dhaifu , ameshindwa kutekeleza wajib wake akiwa kama mtendaji wa serikali [w/mkuu] kwa kumuogopa mkuu wake,
ilipaswa auvunje mkataba wa richmond au angejiuzulu ,
tena MARA ndiko alikozaliwa MWL nyerere. Vipi tena? wenyewe mnajisahau mkififika dar mnatafuta kujenga kimara bonyoka,mbezi msakuzi, halafu unalalamika. Turudi makwetu jamani? hata kama kijijini nenda kajenge hukohuko.
Wengi hawaonekani kwenye maandamano ya cdm, muulize pia Mnyika, shibuda acha kumsakama zitto, hivi wote waende kuandamana shughuli za chama zitafanywa na nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.