Kuwasiliana na binti sio kosa...kosa ni endapo ulionyesha nia ya kumtaka au ulionyesha vishawishi vya kumfanya yy mwenyewe akupenda....pia huyu binti ni mwanafunz au binti wa aina gan?
Sent from my HUAWEI Y600-U20 using JamiiForums mobile app
Tusimpoteshe mwanasheria police anaenda kufanya nn?? Mwanasheria police hatakiwi kuongea chochote zaid ya kuangalia jinsi wanavyokuhoji...na wakati mwingine police wanaweza mfukuza....polis wanahitaji kukuhoji ww na sio mwanasheria wako....mwanasheria wako sehem pekee anaweza ongea badara yako...
Jibu unachoulizwa kama unakijua waelezee,, jiamini, wape ushilikiano askr kwa kile wanachotaka kutoka kwako, usiwadanganye askr maana ni kosa la jinai, zingatia mda wa kufika na kama kuna tatizo wambie nina tatizo kidogo nitachelewa askr wetu ni waelewa na watakuelewa,, hiv ndo vitu vya msingi...
Nilizani nitambadilisha kupenda sex ila nimeshindwa mke wangu hapendi sex toka uchumba mpaka sasa...pia nilizani nitambadilisha ili awe mlokole wa kawida ila nimeshindwa anazidi kuwa mlokole hadi kelo.
Huna uhakika na unacho andika ungekaa kwanza ww na hao waliokupa hizo habar mjadiliane mpate uhakika alafu ndo uandika na utoe hizo lawama ila kwa sasa nakuona kama unaota na huku unatembea
Mnalalamika tu hamtaki kufata sheria ambazo mmezitunga nyie wenyewe ndani ya nchi yenu naomba hii faini ingekuwa hata laki moja....kila siku watu wanakufa kwa sababu ya kuendesha gar pasipo fata kufata taratibu..ungefata hizo taratibu za barabara ungelipa hiyo hela? achen kulalamika bila kuwa...
naomba kujua ni vitu gani vinatakiwa kuvilipia kodi? Mfano kama unatoka nchi za njee ukishuka pale airport na mizigo unatakiwa ulipe kodi? Na ni vitu vip ambavyo vinatakiwa uvilipie kodi?
Pole sana mm mwenyewe nilikuwa na hili tatizo nimesumbuka sana kama mwaka na zaidi hizo sindano za diprofos nimechomwa sana ila zenyewe unapona kwa muda alafu hali inarudi kama mwazo...kama upo da nakuomba uende tegeta kuna hospital inaitwa Rabinisia kama unatoka mwenge panda gar za bunju shuka...
Huu ni ujinga daraja na biashara wapi na wapi wakati mwingine maneno ya lowasa elim elim elim yaana ukwel wake..ni aibu kubwa kuona taifa kama tz tena masikini watu wanafanya ujingaa huu hawa ndo watu wa kufungwa na kuwaachia vibaka ambao wanakwapua simu kwa ajir ya kupata pesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.