Hii ndio maendeleo au sie wa zamani washamba? Leo utakuta binti mdodgo ana boyfriend wa primary, akimaliza primary anatafuta wa secondary. Akitoka hapo anakwenda chuoni, huko ana mvulana wa kumpa madesa na kumsaidia assignments, ana mvulana handsome boy anayempenda wa kutoka naye out huyu ni...
Kawaida ya wazinzi huwa hawajiamini, anadhani anayoyafanya yeye na we ndo hivyo, we sema nae tu polepole atakuelewa coz ni mkeo na unampenda nina hakika uta,badilisha.
Habari zenu wadau.
Jamani wadau wa humu ndani, mimi nataka kuanzisha kituo cha kusaidia watoto wa mitaani. na wewe mdau nakupa nafasi ya kuchangia kidogo unipe mawazo ni jina lipi litumike kwa kituo hiki? TUWAPENDE NA KUWASAIDIA WATOTO/WADOGO ZETU.
Jaman wadau mi najiuliza hata sipati jibu wenzetu majuu mwanaume akiku-cheat mara moja tu hiyo ndoa ndio byebye, hata kama ni miaka 2 nyuma ukijua leo ndo imetoka hiyo...... lakini huku kwetu ishakua jambo la kawaida wamaume kila siku leo karuka na mdogo wako, kesho shoga, mtondo jirani, jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.