Habari wanaJF!
Naomba radhi kwa kupost thread hii kwenye jukwaa hili.
Ila nimatumaini yangu kuwa itawafaa na wengine wanaotafuta kazi hasa nafasi za masters .
Fungua hii link kwa for more details
Tanzania Scholarships
Ahsanteni
NI KWELI HUDUMA HII MI MWENYEWE NILIKUA NAITUMIA ,KAMA MWEZI SASA INASUMBUA SANA ILA KWA WENGINE BADO INAKUBALI.
Jaribu kwa kufungua sehemu ya kuandikia ujumbe mfupi,
andika J250 kama unataka dakika 15...
Wakubwa Habari zenu!
Samahani sana naomba kufahamishwa kama kuna namna yeyote ya kuweza kuaccess vitabu online maana napata sana shida vitabu vingi vinafunguka but wamevizuia kudownload.
Nawasilisha ombi langu kwenu.
ZA ASUBUHI SALAMA YAHAYA!
AWALI YA YOTE MI NI KATI YA WANANCHI AMBAO NI WAFUATILIAJI WA VIPINDI VYENU,KIPINDI CHENU NI NZURI SANA,ILA NINA
WASIWASI WATU WENGI KAMA WAFANYAKAZI,WANAFUNZI N.K AMBAO KWA MUDA KAMA HUU WAKO BIZE KUTAFUTA SHILINGI
HAWAWEZI KUFUATILIA, NAPENDEKEZA KINGEFANYIKA...
Habari zenu wana jf!
Nawaombeni sana ndugu zangu kwa yeyote anayeweza kunisaidia kuondoa tatizo kwenye simu yangu SUMSUNG GT 3212i.
Tatizo:kuna wakati it may take 10 seconds inaandika dsn unavailable sasa inanikera sana,plz kama kuna mtu anaijiua vizuri anisaidie namna ya kuiset.
Nimejaribu...
Wan jf habari zenu!
Kimsingi mi na mawazo tofauti kidogo na wote wanaopinga Dowans isilipwe,nchi yetu inafuata utawala kisheria,na kwa kuwa kila mhimili una kazi yake kikatiba,mahakam kuu imeshakazia hukumu ya dowans kwamba ilipwe pesa zake.
1.hapa nchini uamuzi wa mahakama unaweza kupingwa...
MTM hongera kwa kuona umuhimu wa kuwekeza kwenye kilimo ambayo ndo uti wa mgongo katika nchi yetu.Una wazo zuri sana la
kununua trekta lakini nadhani ingekuwa vizuri ungespecify aina gani,made where n.k but kama huna uzoefu kabisa na matrekta,TAFUTA
MASSEY FERGUSON MF 165,MF 265,MF 175 na...
poleni sana ndg zangu! ucjal lipelekeni suala hilo tume ya upatanishi na usuluhishi /Commssiion for mediation and arbitration (CMA),pale karibu na wizara ya kazi,shuka kituo cha akiba.natumaini kama mna haki zetu ambazo mmenyimwa mtapewa tume ikibaini kuna kasoro ktkt kuwaachisha kazi!
kila...
E bwana serengeti pole sana ndg yangu,mi nakushauri muende wote hospitalini ili mtibiwe wote then muendelee na uhusiano wenu kumwacha siyo suluhisho la tatizo,pia elewa kuwa kuna baadhi ya magonjwa ya zinaa yanaambukizwa hata kwa kushare choo au maji maji ya yenye wadudu wa ugonjwa kama kaswende...
mmmh Watz bana!kwa hiyo hata kama ipo iachwe tu kwani hujui ni 50 yrs after colonial domination?mi nashangaa kwanini zipo !Pia unataka kutuaminisha kuwa kitu hata kama madhara yake yako wazi tuendelee nacho tu kisa kilikuwepo tangu ukoloni,shame on you!Hata kama utasema zipo kisheria,basi hiyo...
EeehWanaJF kuongeza bei ya mafuta ya taa 1500 hadi 1900 ni nafuu kweli kwa mlala hoi wa vijijini au kwa wafanyabiashara? Mwaka jana nakumbuka kuna mbunge (sikumbuki wa chama gani) alisimama bungeni akatoa huo ushauri wa kuongeza bei ya mafuta ya taa naona huo uamuzi ndiyo utekelezaji wenyewe...
GHOST RYDER naomba uweke uwaz manzese /magomeni ni kubwa sana,ukiamua kutuma post tusaidiane kufahamu
1 ni dawa gani inatibu kabisa hayo matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume?
2 inapatikana duka gani au wapi specifically?
3 ushahidi wa watu iliowahi kuwatibu
NB:nakubaliana na we kuwa wamaasai...
Wana JF naomba kuuweka wazi utafiti nilioufanya kwenye mtandao kuhusu ubora wa vyuo vikuu vilivyoko katika nchi 3 za jumuiya ya Afrika mashariki.Nchi ya Kenya inaongoza kwa kutoa vyuo vikuu 12 bora kati ya ishirini miongoni mwa nchi hizi 3 za EAC.
vigezo vilivyotumika
kwa mujibu taarifa za...
Wana jf baadhi ya comments zinakatisha tamaa!naomba niweke wazi kuwa karibu wote wanaotafuta kazi kwa kupaza sauti ni watoto wa watawaliwa na wanyonywaji ktk nchi hii,KUMSHAURI AKAANZISHE BIASHARA NI KUMPIGIA DEBE MBUZI.MTAJI ATATOA WAPI?NAPATA WASIWASI KUNA WATU BADO HAWAJUI MAANA YA UFUKARA NA...
mmmmh hiyo kauli ya mkurugenzi haina mashiko kabisa,MBONA ANASAHAU KUWA WAKATI WA NYERERE VIGOGO WENGI WALISOMA BURE!WAKATI ULE KUNGEKUWA NA WAKURUGENZI WAVIVU WA KUFIKIRI KAMA MAMA KINABO WANGEWEZA KUFIKA HAPO ?
Mi nadhani ingefaa kuridhia na kuona namna gani hiyo sera inaweza kuenezwa...
"..........., never realizing that in America, there was no free medicine, no free hospitals, no free housing, no free education and no free food, except when people had to beg or go to long lines to get soup."
NATO HAWANA CHOCHOTE WANACHOPIGANIA ZAIDI WIVU +MAFUTA TU MAANA GADAFFI KAWAPIGA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.