Hayo si majibu mazuri kwa mwenzi wako wa ukweli hata kama hakukushirikisha walati wa kununua ilo gari. Ndoa ni sehemu tu ya maisha na si maisha. Hivyo huyu mwanaume atakuwa na shida tayari, na asipo angalia wazee wa mjini wata anza kumfunulia mke muda si mrefu.
you did a very good job really. The same message would be brought to Jf viewers via other means and it wouldn't impress majority as it does. This is the power of intellectual property, that lets use various approaches to deliver the same message to all sociaty in a fantastic way. I appreciate...
Mhh. I see. EL is a great and committed man, who would lead the country where we would like to be. Leave alone scandles that cause him to step down. but sincerely speaking he is the man who will bring changes to the country. Think of the vey few months that he rulled as PM, compared to other PM...
Mkuu, Igunga kuna kata ngapi? sithiemu wataiba cdm wasipo kuwa makini, kaba man2man mpaka kieleweke. Mdee fanya kazi, tumechoka na sihasa chafu. Good keep it up mama.
Ndoa ni makubaliano ya watu2 ivyo, is a complex structure. sasa mkuu msamehe tu, inawezekana alishagundua kuwa mwanamme si rijali so anataka kuleta heshima ndani. Ila sasa hicho kidume, kinanyonya mpaka makalio, means kanyonya hata keikei? very dangerous indeed.
Mkuu acha akako katabia, maanake baada ya muda mrefu, hautaweza kusimamisha tena hata milele. kwani ulianza je mpaka kujichua mtoto wa kiume? Hii ni dalili ya ukosefu wa maadili, nenda kwa ndodi akakuombee mara moja.
Mkuu! milupo ilivyojaa tz, unafikiria kunyetooo? au umechoka kk ivi unataka kuonja ya kunyeeetuo? Kaaaazi kueli kueli.
Achana na hiyo biashara, vumilia kama uwezi oa mke mwema. uko hapo mkuu?
We mama. kwani wamekufunua wangapi ndo uweze kujumuisha kwa wanaume wote?
In statistics, n (sample) must be greater or equal to 30. ww uko wapi sasa? otherwise hauko sahihi.
Sasa mkuu unategemea docta wa Jf akuambie nini? na utajuaje kama aliye andika ni dactari wa ukweli na c wa kuchakachua? Go to hospita and seek for professional advice. Labda kama unapepo la mapenzi - also possible
Mkuu hiyo na dalili kuwa majaribu yako mengi kwako na unatakiwa kuwa makini sana upon your decisions. Usijaribu hata siku moja kufanya mapenzi na mke wa mtu. Hakuna ujamaa katika tendo la ndoa. mwambie kuwa; imani yangu hainiruhusu kufanya hivyo, amtafute mtu mwingine. because, ukianza tu kulala...
Je umeoa? au huyo msichana unatarajia kumuoa au kumchezea? Basi hiyo ni adhabu toka kwa Mungu, unatakiwa kuacha kufanya mapenzi mara moja kabla ya ndoa. umenipata mkuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.