Napenda kutoa tahadhari kwa idara ya ujasusi ya Tanzania kuongeza umakini juu ya ulinzi na usalama wa viongozi, uchumi, siasa na ulinzi wa RAIA.
Kuna vikundi Vingi vya kijasusi kutoka nje vinaingia sana nchini kwa ajenda ambazo hazina mashiko hata kidogo na watu hawa uwa wanaenda kwenye sehemu...
Kocha ana utoto sana hayo sio maneno ya kuongea kwenye press kubwa kama hiyo..
Yanga inaonekana kituko na uongozi was yanga unaonekana ni mbovu kuwai kutokea
Waambie tarura sio waziri wenye budget sio waziri ni tanroad na tarura hawa ndio tatizo nchi hii
Bashungwa mtamuonea bure kila siku tanroad na tarura wanaruhusu makapuni ya ujenzi wanamwaga vifusi ovyo tu
Na barabara wanaowapa tenda wanajenga muda mrefu ili kuiba pesa
Tatizo kubwa ni wao na...
Kama hawatapangwa na game yanga akapoteza basi uongozi wa yanga unatakiwa kuchunguzwa kwa kuhujumu timu
Wachezaji waliocheza game j3 na j4 wanashindwaje kufika Tanzania mpaka siku 3 kutoka ufaransa? Na hapo Africa magharibi?
safari ya Massa 8 mpaka 10 wachezaji wanachukua Massa 48 kurudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.