Hii biashara kama ilivo biashara nyingine inachangamoto zake chache ambazo ukizifaham utafanya biashara,
Hata mimi kabla ya kuianza nilikatishwa tamaa na comment za wengi lkn kwakua hii biashara sio jaribio langu la kwanza sikusita kujaribu,nimekua nikiifanya tangu 2015 na mpaka sasa inafanya...
Mzizimkavu salama,
Baada ya kusoma comment yako niliamua kutafuta zaidi kuusu mkojo na nimenunu kitabu kutoka marekani kwa amazon kinacho husu tiba za mkojo (Urine therapy),naendelea kukisoma lakini mpaka sasa wameonyesha kwamba mkojo unatibu magonjwa mengi sana. thx for bringing up this idea...
Watanzania kama wewe mnachosha sana,
Ikumbukwe kwamba waziri mkuu ndio mtendaji mkuu wa serikali,hizo taasisi unazo zisema kaziagiza zipo kwa ajiri ya kumsaidia yeye Kazi,sioni kosa kuviagiza.
Sio kila mkutano uliowekewa jukwaa ni wakisiasa,waziri mkuu kila anapokuwepo kwa muda wa utawala wake...
Hakuna maendeleo pasipo maumivu,chochote unachokiona cha maana kimefanyika kunawalio umia ili kufanikisha,hata hizi reli kunahata ambao walipoteza maisha wakati wa mkoloni ila Leo tunasifia ndio usafiri wa bei rahisi,tuiunge mkono serikali ili ifikie malengo yake ya kutuletea maendeleo endelevu...
Sorry bro,najaribu kuwaza kwa maandishi!hapo uliposema wasio Na ajira walikua wakilipwa posho,unaona ni sahihi?kwann wasinge accumulate hizo posho waka invest/wakajenga kiwanda alafu wakawapa ajira watu wao ili kuwe Na sustainable earnings kwa watu wao?huoni kama ni njia ya kutaka kutukuzwa kwa...
Ndoa ni mtihani mgumu kwelikweli,na huwa unaufanya for the rest of your life kutokea unapo owa bila kufauru wala kumaliza,maswali yake ni mengi mno!!
Ndio maana huwa unapewa cheti cha ndoa kabla ya mitihani husika.
heshima kwenu kwamlio na ndoa zenye ustawi
Guys!!!yani Oahu za mamaako mzazi ambae amekulea mpaka umefikia hapo ulipo,ambae pengine inafaa uzungumze nae kwa ukaribu kuliko wanawake wote huku duniani,amekuambia kitu unaacha kumuuliza kulikoni unakuja kuuliza hapa JF,serious????
Stop kidding bana
Chukulia hakipo,ndio kinafanyiwa majaribio kama inafaa kiongezwe au kisiwepo,hivyo hata sifa za mtu anae kistaili pia hazipo,kwaiyo aliyepo ndio atakua benchmark ya kama sifa hizo zinatosha,awekwe alie na sifa pungufu au atafutwe mwenye sifa zaidi?
Utapeli ukowapi kituko,Kwani umeambiwa ulipe pesa ilikuomba?hizo Habari za email ni issue sa company policy,
I encourage you to be optimistic ili kufikia malengo yoyote,
Anyway,this office is located at plot #1131B masasani road,in btn Tanzania breweries and uongozi institute in masaki
RTI International is accepting applications from qualified staff for the recently awarded USAID/ Tanzania Tusome Pamoja Program (2016-2021) in Tanzania. The 5-year program will assist the Ministry of Education to replicate and scale up reading, writing and arithmetic improvement interventions in...
Kuna wenye vyeti halali hawana uwezo na kunawasio vyeti wanauwezo mkubwa,nafkiri ifike mahali tuchague tunawaitaji zaidi wepi kati ya hao.
Kunawaliosoma kwa utaratibu/mfumo wa elimu uliopo hawakuelimika na kuna ambao hawakusoma kwa mfumo huu lkn wameelimika,tutumie wapi ili kupiga hatua?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.