sio kweli moderator naomba uifute hizo thread, mimi huwa natumia sana library wanafunzi wengi wanaosoma public relation huwa hawaendi kusoma sababu floor yao na yetu zinapakana sasa, yeye anakosa vitabu wakati vitabu hivyo ni vingi na huwa kuna nakala nyingi na ukikosa kitabu ukiienda librarian...
Hata mimi nakuja Magu siku ya alhamis ili kuongeza nguvu pamoja na kamanda wangu mawazo sababu ni mwl. wangu ili aone matunda ya miti aliyokuwa akiipanda. HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE MAGU kwenye chaguzi za vijiji na vitongoji.
Ni kweli leo wamezomewa sana, walokuwa wakizomewa ni nnape na yule babu(yule mchezaji wa reserve) wamezomewa sana wakaamua kuwapiga vijana na nimeshuhudia wakimpiga machinga mmoja alikuwa kwenye biashara zake makoloboi wakamuumiza mbele ya polisi kisha mahali alipokuwa amepanga bidhaa zake...
acha uongo kwa takwimu za mabadiliko ya katiba mpya inaonesha kuwa kati ya mikoa ya kanda ya ziwa shinyanga ndio inaonesha kuwa wanahitaji mahakama ya kazi, takwimu zinaonesha kuwa kati ya aslimia zaidi 80 waliotoa maoni wanakubaliana na mahakama ya kazi.
RFA sasa wanaripot ati kuna mchuano mkali na huyo mwanahabari wao yumo chumba cha kuesabia eti kamanda Nassari amesusia matokeo na ametoka nje hana time kabisa tunaomba taarifa.
Wewe ndio unafanya unaz kutetea ujinga, TANU na ASP viliungana ili kuunda Serikali moja ya muungano ambayo ni SMT ili kutimiza matakwa ya Viongozi. Ile ilikuwa ndoa ya kipindi kile sasa CCM imeoa tena mwanamke anaitwa CUF kwa hiyo nikawaida yake kuoa oa, upo hapo?. Hivi nyoka akijivua gamba...
Miaka yote hiyo ccm walikuwa wapi? kuleta maendeleo kata ya Kirumba na Jimbo la Arumeru kama wana Meru wanataka kuona yaliyowapata wanaigunga kesho wasifanye makosa ya kuchagua ccm, Watanzania tumechoshwa na miaka hamsini ya Uhuni tulikuwa tunawapigia kura matokeo yake viongozi wetu wanakuwa...
Mbunge huyo wa Jimbo la Ilemela ameyasema hayo katika mkutano wa kampeni uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Ibanda ya juu- Kata ya Kirumba saa 11:27 jioni ya tarehe 22.03.2012.
Kasema toka awe mbunge Katika Kata hiyo anahangaika na matatizo ambayo yana miaka 50 yeye anapokutana nayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.