Sijaluelewa mkuu, unajaribu kusema kwamba nikitumia pesa nyingi sana kuvunja sheria inabidi sheria itupwe ili mimi nisiwe nimepata hasara kwa kuvunja kwangu sheria?
hahahahahahahahahaha
... Kwa kuiwa Rais wa Tz ndiye Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Majeshi yote..huyo Jamaa hapo Nyuma anambebea Rais vyeo vyake vyote ndio maana unaona ana vyeo vya ki-polisi, jeshi, jeshi la Maji na La Angani..
..Lets talk the talk now..hata wakitajwa haitasaidia tuzungumze na huyo aliyeko kuepusha hilo dhahma jamani..Mh Mnyika majina ya Wamiliki wa Dowans hayana tija tena..sio issue jamani issue hapa ni UMEME kuwaka na kuepusha deni na mgao..
..Jamani mbona Tz hatueleweki..tulitaka ajitokeze amejitokeza tunasema sio yeye na hatumsemi nani mmiliki..mmekataa kulipa deni amekuja kujadili deni lipungue au lisitishwe mnataka akamatwe kwa kosa la kukataa kupiga picha. Mi naona ombwe kubwa sana katika uchambuzi na ujengaji wa hoja kwa...
..jamani huyu kijana mwenzetu kumsema nimechoka..Leo asbh nimekutana nae akiwa na Range Rover Vogue Sports mpya ina number za nje I think imeanza na somethin P the Carlifornia..sina hakika kama inatokana na kale kamkopo ambako Mnyika na Lema walilalamika bila kutujuza kama wamechukua au lah au...
..Wana JF pamoja na kuwa mgeni humu ndani, lakini lipo jambo/mambo ambayo binafsi yananikosesha usingizi hususan yaliyojiri katika bunge lililopita. Yamejadiliwa mengi ikiwemo hotuba ya Rais, matatizo ya Umeme, Elimu, pamoja na Afya na katika hayo yote sijaona azimio lolote la msingi lililolenga...
..I like Museven, he is very serious and committed..ila nadhani ni vema akasoma nyakati..najua mapinduzi hayawezi kufanikiwa kumtoa huyo ana roho saba kama PAKA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.