Kama unamjua ni vizuri sana na inaelekea unamjua toka shule pia ujue kwamba unavyomjua mtu kwa nje ni tofauti kabisa na alivyo na anachofikiri, Kimsingi mimi simkubali huyu jamaa kwa haya yafuatayo:
Kutumiwa na Singita Grumeti Reserve: Jamaa huyu amekuwa akitumiwa na Singita Grumeti Reserve...
Mkuu kuna mpira Easy Televison? Maana hawa Dstv kwa kweli wako very expensive kwa maisha yetu haya ya kibongo. Kama kuna king'amuzi kinaonyesha EPL, Uefa champions league. Plz tujulishane
Pole sana kaka, mambo kama haya hutokea tujifunze. Kimsingi mimi naona pia wewe ulikuwa na tatizo. Iweje ukae na mtu miaka mitatu na mmoja mnaishi wote bila kufunga ndoa? What if yangetokea matatizo makubwa kwa huyo dada ungewaambia nini wazazi wake? Kama ulimpenda kweli kwa nini hukumuoa? Pole...
Ni kweli kaka, binafsi sikupata kumjua Lema before, ila nilimsikiliza vizuri sana wakati wa kampeni zake na kwenye midahalo na vikao mbalimbali. Huyu jamaa inawezekana akawa hana elimu kubwa ila reasoning capacity yake ni kikubwa sana na ana uwezo wa kufanya mambo mengi makubwa kama msomi tena...
Aise pole sana ndugu yangu. Kimsingi mi navyojua unapaswa kulipwa mshahara wako kila mwezi na mwajiri anapaswa kupeleka mchango wako NSSF kila mwezi.
Kuhusu statement ya NSSF unatakiwa uinagalie vizuri kwani huwa wanachelewa kupdate hata kama michango ishapalekwa ila kama haijapelekwa kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.