Yaani nilikuwa naombea kibosile mmoja wa polisi apate ugonjwa ili akaonje joto ya jiwe ya kile wanachokilalamikia madaktari (Namshukuru Mungu kwa kusikiliza sala yangu, ingawa nampa pole mgonjwa, wanasema kama mmoja/wachache akiteseka ila kukawa na manufaa kwa wengi hiyo inakubalika...
Halafu nyie watu mnaojidai mpo kwa system mna doublestandards sana! Si nimemsikia naibu spika Ndugai akimweleza Tundu Lissu asikoti magazet (kwa madai yake ni udaku), sasa weye mbona unafanya kitu ambacho bosi wako anakataa ( au hiyo kanuni haiaaply kwenu?)
Hivi yule mtu aliyeenda kuonge na Ulimboka kama hakuwa muhisika ilikuwaje aone mtu anayeongea naye anakamatwa yeye akakimbia? Kwa nini hakubaki na Deo kufuatilia kulikoni?
Hebu muulize Malcopolo wakati anazuga pale Lugalo, vifo vingapi vilitokea kwa ukosefu wa vifaa?
Hebu wapeni madaktari mazingira mazuri ya kufanyia kazi pasipo hata kuwaongezea mshahara muone kama hawatachapa mzigo!
Madaktari ya Ureno wamegoma kisa bajeti ya afya kwa kuwa imepunjwa...
Hivi weweeee tangia lini unajali mambo ya madaktari au vifo vya wagonjwa na hasa watoto?
Wakati unafanya internship pale Lugalo si ulikuwa unadoji ukiwa zamu na hasa pale paediatric ward ukiacha vitoto vikifa na weye kwenda kufanya mambo yako ( au ndio guilt concious?)
Ukaflukufluku...
Sijawahi kuona mchemfu kama weye, KTY huyo daktari wa watoto unayetamani awe ameshiriki mgomo hakuahiriki, mnataka kumbambikizia kesi , au umepewa info nusu nusu, kabla hujakurupuka fanya utafiti.
Am so ashamed of you!
Majibu ya maswali unayouliza serikali inayo na uzuri Namala is verysmart guy so he will beat them up. Yaani hata sheria hawazijui au? Hivi hajaitisha mgomo na hana taarifa yeyote inayomweleza kuwa kuna wanachama wake walioko kwenye mgomo, atakurupukaje kuanza kusema mgomo batili, je akitoa...
Hivi si kuna taarifa kutoka MOI, MNH kuwa hakuna mgomo na madaktari wote wamesharudi kazini? sasa hii ya kwenda mahakamani kuwa wamekaidi amri imetoka wapi tena. Unajua umbumbumbu ni shida sana.
Umetaja Gongo la Mboto nikakumbuka ndio makao makuu ya kikosi maalum, sikujua kama ndio mission yenu , nilifikiri ni maalum kupambana na majambazi (msangi type, inawa najua na yeye ni mmoja wa wana kikosi), kumbe ni kuua watu,seeee!
Ukiona serikali inataka kuwaaminisha wananchi wake kuwa "doctor's are the killers while they believe the opposite and the so called TISS are not the killers while they also believe the opposite" ujue kuna tatizo mahali, TAFAKARI!
Kwani hiyo serikali imeshachukua hii na kuicanyia analysis ikaona ni fake? Au unataka kujiridhisha kuwa ndio yenyewe muanze kutafuta jinsi ya kuitokomeza. Mnawaunderestimate madaktari na mnachokosea mnafikiri hao walioko usalama na wao wamefurahia alichofanyiwa mwenzao.
Kumbukeni kitu kimoja au...
Du! nyie viongozi sijui ni lini mtajifunza kuchuja mnachokiongea. hebu ona tamko la RAIS wetu kwetu sisi watanzania
"Kutokana na ukweli huo basi kama mgonjwa anayeona kuwa hawezi kutibiwa katika hospitali ya Serikali bila kulala kwenye kitanda chake, bila kupata vipimo kupitia vifaa bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.