Habari wadau wa Maendeleo. Nauza Viwanja. Vipo Bagamoyo njia ya kwenda Msata, eneo la FUKAYOSE. Bei ni Tshs 5,500 kwa square meter moja.
Viwanja vimepimwa tayari na vipo kilometers 1.5 kutoka barabarani. Kwa mawasiliano piga namba 0767460356
Kuanzia mwaka 2014 hadi 2020 washtakiwa wanatuhumia kufanya uhalifu na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya 4 Billion. Lakini hakimu anasema upelelezi haujakamilika??!!!!
This is so weird.
Hii ilisaidia sana kwa wafanyakazi kujiongeza na kujifunza Ujasiliamali. Maana watu wengi walibweteka na mishahara yako.. Inchi ipo kwenye construction MODE. Pesa nyingi inatumika kugharamia miradi mikubwa ya kimkakati na kupitia hiyo miradi, ajira nyingi mpya zimepatikana. Hivyo basi, haikuwa...
Kuna kitu ambacho, ama hatukijui, au tumeamua kwa makusudi kabisa kutokukitambua. Inchi hii ya Tanzania inalindwa na Mungu Aketie Juu Mbinguni. Lakini pia, MBEGU ya kumtegemea MUNGU katika Jimbo iliopandwa na Viongozi wetu ndio inayo mkumbusha Mungu kuendelea kuiangalia Tanzania kwa Jicho la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.