Hicho ni kifungo shetani huwa anatumia akili sana kufanya mtu ili asifanye maendeleo mara nyingi vitu unavyovipenda kuvifanya shetani huwa hakai mbali chunguza vitu unavyovipenda kuvifanya au mazingira unayopenda kushinda au marafiki unaowapenda kuwa nao wanaweza kuwa sababu ya mambo yako...
Ni kweli kabisa ngano,wali na ndizi ni vyakula ambavyo ni best kabisa vinasaidia kuongeza akili respect wahaya,wachaga,wanyakyusa na wakinga wanakimbiza sana
Elimu pia ya tatizo hii nchi watanzania wengi wanaamini kwenye kuutumia nguvu kufanya kazi ndio wanaona ni maisha hakuna idea mpya zinazoletwa kwenye jamii shughuli ni zile zile kila kijiwe Kuna bodaboda huyu mtu ata umpeleka ulaya ataenda kufanya nini
Kama unaona unaanza kupata mafanikio ni jambo jema kuama mitaa wanayokaa masikini unavyoanza kufanikiwa na usalama wako ndio unapozidi kupungua kulogwa,kuibiwa na kuvamiwa saidia watu wasiojiweza na wenye uhitaji ila usifanye hivyo kwa watu wanaokufahamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.