Kisa cha miaka 30 iliyopita.
Nimerudi likizo yangu ya kwanza toka niende shule kidato cha kwanza shule ya bweni. Ni miaka ile ukifaulu unaheshimika kijiji kizima, kama sio wilaya nzima.
Nimekaa naandaa karanga zangu za kwenda nazo shule, mara paap kaja dada mmoja wa maeneo ya jirani na barua...
Nimekula hasara ya kutosha. Nililipa zaidi ya laki 6 kuweka hii makitu, ilionyesha kwa wiki mbili tu, sasa hivi ni mwezi wa pili hakuna kitu. Hasara!
Ili kupata FTA (local) imebidi niweke dishi la pili! Hasara kweli kweli.
Fundi kasema sijui decoder inahitaji kufanyiwa software upgrade...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.