Basis kwa ufafanuzi huo hakuna mwenye dhambi kati ya waliodhaniwa kuhuduhuria au kujiandikisha kwa ajili ya kupata posho.
Ilaumiwe serikali kwa kulipa posho wasiohudhuria vikao wajinga ni watendaji period.
Chili seals tusipokuwa makini tutapoteza wanachama wengi maana hata ambao hawajaenda, no roho ngumu, anakuta MTU Alisha panga mipango take ya kibiashara, ujenzi au vinginevyo kwa kutegemea posh ya Binge chili ndio lingemtimizia yote, sasa anapoambiwa asiende inamletea shida sana
Ndio maana...
Mmmh! hawa watu bwana sijui walikuwa wanatest watu,maana kuna muda hata ile link yao muda fulani ilikuwa iko valid lakini baadae kidogo ikawa invalid,sasa sijui hata wale watu waliofanikiwa kutuma application zao kabla ya invalidation ya ile link wameitwa au la.
Inawezekana kuwa walikuja kusaini posho lakini kwa mawazo yangu,sio hvyo bali walikuja kwanza kushiriki bunge la maswali na majibu ili nao pia waweze kuuliza maswali ya matatizo katika maeneo yao husika.
Lakinia pia lazima kuja kusaini daftari la mahudhurio ili bunge kwanza kuheshimu na...
Kimsingi katiba mpya tunaitaka na sio tunaiomba maana hapa tulipo na maisha haya ya ufukara yamesababishwa na katiba hii ya enzi za mwalimu,ndo maana tunaitaka akatiba mpya so that iendane na mazingira ya sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.