Sina tatizo na msimamo wake, maana ndio maana waliosema tusichanganye dini na siasa, maana hakuna uwezekano dhehebu lolote lile Tanzania kuwa na watu wa upande mmoja. wenye maoni sawa, ndio maana dini zikaambiwa zijikite na mambo ya imani.
Shida yangu: Maaskofu mlioandika kama kweli mumeandika...
Kama ukienda kwy benki zetu hutaona akina Bakhresa na MO. ndio wakopaji wakubwa basi ujue benki zimedanganya...
Wandugu Serikali ya America na ya Japan zimekopa ambapo ulinganisho na GDP yao ni zaidi ya 100%
Backeys au Standard bank zikikukopesha maana yake zinaamini uko vizuri...
Bank yoyote...
Ndugu Pascal Mayalla
Umetumia kufika mapema kama moja ya success factor... mimi sikubaliani na wewe....
Reli ya Tanzania itaishia kushinda kwa sababu gani?
1. Rwanda na Burundi zita-depend 100% on TZ route, sio kweli kwamba Kampala na Kigali ni Karibu... taking into consideration ya route...
Heshima kwako Pascal Mayalla hoja zako nzuri sana... lakini zina ukakasi... nitasema kwa nini? Umetumia neno "ujinga" mara nyingi.
Naomba nikwambie watu walioandika sheria katiba miaka 33 iliyopita nikimaanisha kutoka 1984; hawakuwa na information kama ulizo nazo wewe leo.
Indeed hata hoja...
Mh. Zitto
Ni mtu wa Airtime; mswada umeandikwa na wataalamu ambao ni future retiree, hawawezi kuandika vitu vya kuwamaliza wao...
Tatizo ni kwamba hasubiri kuzungumzia bungeni kwa sababu hoja zake zote zitayeyushwa... anajua akiongelea nje atapata heshima kubwa sana... kwa sababu kuna watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.