Anachohitaji sasa huyo binti ni hakikisho la usalama wake binafsi na upendo wake.
Kutafuta haki ni sawa lakini haibadilishi chochote zaidi ya kulipiza kisasi.
kama unampenda tangaza nia, fuata njia sahihi, oa kwa utaratibu unaokubalika ili umfanye kuwa na uhakika na uhalali wa mahusiano. kuzaa...
Nchi yangu, Tanzania yangu, tunalalamikiana hatuna UZALENDO, ila anapojitokeza mzalendo halisi anakandamizwa na kufanywa kafara. Alafu kila siku politisiani wanataka vijana wawe wazalendo kweli!
Pathetic Comment! people are discussing the future of Multiparty Democracy and heart of the nation, you bring in story za udaku!
Kuna tofauti kubwa sana hapa, mtu kama Mghwira, aliyepita kutushawishi na kutuhaminisha kuwa yeye na chama chake ndio waliokuwa na sera nzuri ambazo zingeweza...
Friend Kenyans, your hearts have been broken countless times, I wonder this time if you are going to give your hearts to be broken again!
Hahaaaaa!
We are dying slowly with our Magu!
Imeandikwa wapi kuwa ukifiwa lazima ulie na kuhuzunika 24HRs?
Hata watu wazima kuna wakati wanacheka, sembuse watoto?
Waonekana hauna ushirikiano mzuri na wanajamii na kuwa mambo mengi yamekupita!
Shiriki mambo ya kijamii utajifunza mengi!
NB: watoto wana feel absence ya yule mtu ambaye...
You are Right and Wrong at the same time!
mark these:
1. wagonjwa wanaofariki barabarani ni wachache ukilinganisha na wale wanaofia kwenye mabaraza na korido za Hospitali; wahudumu wachache with less skills, vifaa tiba shida.
2. Wanafunzi wanaomaliza Shule za msingi hawajui kusoma na kuhesabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.