mimi ninaomba kwa anaefahamu process za mtu alie omba mwaka jana akanyimwa akajilipia then huu mwaka anataka kuomba tena je anaombaje anaanza upya kwa kulipia 30000 au ana appeal kwa 10000?
ivi tatizo ni wanafunzi,walimu au serikali yetu..mona haya mambo yanasikitisha sana..wakati huo waeshimiwa wanaongeza greds za kufaulu akati..hata iyo moja haipatikani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.