Girl hapigwi matendo tu
Keshatambua una Malaya safi
Kupika hataki safi
Naye hajaolewa safi kabisa
Chukua huyo malaya anayezua ugomvi nenda naye kwako
Mpe sado ya viazi na kuku mzima
Achinje na aandae msosi
Then
Rudi hapa tupe mrejesho
Mnyooshe tu huyo kwa matendo
Salamu wakubwa
Gari yangu Toyota kluger inawaka taa hii na kuzima kila baada ya muda
Tatizo ni nini au inaashiria shida gani
Asante wakuu
Ni alama kama hiyo namba 62
Wasifu wa mbunge Catherine Nyakao RUGE
Bi. Catherine Nyakao Ruge ni mwanaharakati wa masuala ya kijamii anayepinga mila kandamizi na kutetea haki za watoto wa kike na kina mama. Amekuwa akitetea haki za watoto wa kike dhidi ya ndoa za utotoni, ukeketaji, ukatili dhidi ya wanawake na ubaguzi...
Ukweli utabaki kuwa hizi Shule kutosimamiwa na serikali ni janga kubwa
Uwepo ushirikishwaji wa wazazi katika shule husika ili kupandisha hizo ada
Mfano kuna shule hapa magomeni iitwayo Hazina international wamepandisha ada 3.8m hadi 6m kwa wanafunzi wa darasa la saba
Shule hii ina lipi la...
Ukiisoma hii story kuna kaukweli fulani
Mwanamke akianza kukupotezea unatambua vizuri ,, hapo aliposema kau serious flan hivi ndio mara nyingi hawa girls wanachofanya
Pole mdau kwa yaliyokukuta
Nisamehe Ontario na wengine nilowaudhi halikuwa lengo wala makusudi yangu
Ni hizi simu zetu unakuja fahamu the story iko quoted without ua knowledge
Thanks kwa muda wako kutuletea this brilliant story
Much respect Ontario
Nisamehe chief
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.