Haahaaa laaa laaa!!! Wengine hulipwagwa humu eeh!!!, kuanzia leo ndio na anza kustuka "uzalendo hauliwi" Hii kauli mbiu ya uzalendo hauliwi ya wezekana ndio iliokuwa ikitumiwa na wale waliotuingiza katika mikataba ya ajabu kwelikweli.
Ni kweli wakati akiwa JWTZ taaluma yake ilikuwa ni PEO na alikuwa mwenyekiti wa jumuiya ya chama jeshi. Wakati huo jeshi likiwa moja ya jumuiya za chama?
Lazima nigombee uwenyekiti taifa safari hii kupima jinsi demokrasia ambavyo imeota mizizi kwa mchina kukubalika si mmatumbi , mchina cdm na sitakubali ile demokrasis ya kuombwa na wazee kuondo jina langu ni mpishe mchagga.
Naomba kuuliza kodi ya majengo inawahusu nani kati ya wenye majengo na wafanyabiashara. Je wenye majengo ni wafanyabiashara au wenye majengo au wote? Kwa maana ya wafanyabiashara na wenye majengo na wote. Je wanasiasa wanamajengo?
Kwa umri wake ndio ananza kuvaa gwanda sasa? Angejifunza kwa hayati Castro wa Cuba uzee ulipo mkabili aliachana na Gwanda na amekufa akiwa anavaa masharti ya bahamamama na msuli.
Hata mwezi may tulitangaziwa mwanasheria wa accacia yuko londoni kufungua kesi, mwezi wa oktoba sasa unaisha hatuja iona hiyo kesi.
Kumbe hawa viumbe wazungu wakishikwa wizi wanaweweseka hivi si kulijua hili. Asante mh Rais wa JMT.
Mchina wajF.
Na washawasha.
Kwa hiyo serikali imeongea na yule prof wa Barrick na kumuomba ashirikiane nao kututapeli. Mimi ni nacho jua accacia lazima waweweseke maana wenye shea zao watataka kujua nani kawaingiza katika hii dhahama na anachukuliwa hatua gani? Ndipo sasa unasikia hatulipi or hatuna fedha lakini mwisho wa...
Habari ndefu na hoja mufilisi. Hivi wale wajumbe wa Barrick ambao walifika 25 kama tulivyo taarifiwa hawakujua walichokuwa wana kijadili? Au niulize hivi yale yaliyokuwa yanajadiliwa na Barrick mmiliki wa accacia, accacia alikuwa hahusiki au hashirikishwi? Eti mtu leo anashangaa accacia...
Acha ujinga bwana shige? Ujinga ni kutolea mifano kesi za TANESCO za kujishindisha kama sehemu ya ulaji. Kwa nini mwashindwa kuushinda unafiki?
Mchina wajF.
Na washawasha!
Mbona tena umesahau kumtaja Lissu katika hii post maana ndio kipimo chenu. Nime uliza hayo tuliyo ya sikia jana ya kimaterialize hizo data ambazo unazikusanya zina sema je? nchi itanufaika ua hainufaiki?
.
Hebu angalia hiyo balance sheet ya Barrick wakitoa hizo 300 usd million tena kwa hiari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.